JUST
JF-Expert Member
- Dec 10, 2010
- 552
- 234
Kuna usemi uliozoeleka ya kwamba chakula fulani ni kitamu au vyakula fulani ni vitamu. Binafsi nakataa kwa sababu chakula chochote ili kiwe kitamu kinahitaji mapishi mazuri. Ndio maana ukienda kwenye hoteli au mgahawa kujipatia chakula chohote ambacho nasfi yako imekipenda alafu ukakuta mpishi anajua namana ya kuchanganya vioungo nya chakula vizuri na varieties of food lazima utasifia na inapobidi kusimulia rafiki zako kuwa mgahawa huo ndio utakuwa wa kwako pale unapotaka kula chakula na fufurhia mlo wako.
Kwa mfano wakazi wa arusha wana kitu inaitwa trupa cha ajabu bar nyingi walikuwa wanatengeneza lakini kuna bar ambayo watu walipendelea kwenda kuila kwa kuwa mpichi wake aliipatia haswaa.
Kwa hiyo ili tufuraie vyakula vyetu sharti tuwe wapishi wazuri.
Kwa mfano wakazi wa arusha wana kitu inaitwa trupa cha ajabu bar nyingi walikuwa wanatengeneza lakini kuna bar ambayo watu walipendelea kwenda kuila kwa kuwa mpichi wake aliipatia haswaa.
Kwa hiyo ili tufuraie vyakula vyetu sharti tuwe wapishi wazuri.