Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Hebu tuchukulie kwamba umekwenda kusoma nje ya nchi, au umekwenda mbali sana na nyumbani kwako kikazi. Umekaa huko kwa miaka miwili . unaporudi, unakuta mkeo ni mjamzito! Hebu niambie ungefanya...
0 Reactions
113 Replies
9K Views
Habari JF! nimemuona hana niya ya dhati kwenye matarajio yetu. Ninapoamua siongei nae kwa siku kadhaa...huanza kunibembeleza...najirudi. Haishi kunieleza shida zake namsaidia kadr ya uwezo...
0 Reactions
41 Replies
5K Views
Wakubwa shikamoon, wadogo habari zenu!! Naomba kueleweshwa ni umri gan ambao msichana hufika na ku2lia na kuacha kuruka ruka{ku2lia na mpz mmoja}?
0 Reactions
22 Replies
2K Views
kwa asilimia kubwa kwa walioko kwenye ndoa utamani na/au kukumbuka baadhi ya vipengele vya maisha walivyokuwa wakiishi wakati wakiwa bachelor, je ukipewa likizo ya mwezi mmoja kuwa off marriage ni...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Nimebaki dilema kwa huyu dada,amekuwa just a friend since nilipom-approach 2009. Aliniambia yuko single na hayuko tayari kwa mahusiano wakati huo. Kipind chote ninachoendelea kusubiri anasema yuko...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Utakuta mpenz wako anakuambia "nakupenda kutoka moyon" au "moyo unaniuma sana" je moyo una hisia, si kwamba kila kitu kinafanyika kwenye ubongo?. Tubadilike tuseme "kutoka kwenye ubongo"...
0 Reactions
27 Replies
3K Views
Ni asubuhi ya Ijumaa Tar. 2/09/2011. Rafiki yangu kaniita Tabata Anasema ana mazungumzo na mimi. Ninapofika nyumbani kwake Simkuti, namkuta mkewe naye anajiandaa kuondoka, anamsindikiza...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Wandugu nilikuwa safari,nimerudi nyumbani kwangu usiku wa manane nimemkuta mama mkwe kalala na mke wangu chumbani kwangu,na nina nyumba kubwa tuu ya vyumba 4.niwaeleweje hawa watu na nifanyeje...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Kwa kifupi sana ni hivi. Mwaka 1975 nikiwa mwalimu kijana bado, nilifanya jambo ambalo kwa wakati ule wala halikunisumbua ingawa lilikuwa baya sana. Bila shaka, wale wanaokumbuka mfumo wa elimu wa...
3 Reactions
23 Replies
4K Views
Sifa ya mchumba nnaemtaka ni za kike, so its obvious kwamba I should kidume, jst by implictn of th msg descriptn!
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kukosekana kwa malezi ya dhati ya mama kumeonekana kuwa na athari kubwa juu ya kukua kwa mfumo wa neva wa mtoto na hupelekea kuathiri saikolojia ya mtoto. Hii ina maana kwamba...
1 Reactions
15 Replies
5K Views
"you don't love a woman because she is beautful,but she is beautful because you love her and the definition of a beautiful woman is one who loves you" thnx.
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Kiswahili is not among the top 10 sexiest accents, uugh!!! The world's top 10 sexiest accents We recently asked our Getaway Facebook community what they thought the world’s sexiest accent was...
0 Reactions
31 Replies
5K Views
ndugu zangu naombeni msaada wa kimawazo nilikuwa na girlfriend ambaye nilimpenda sana, lakini kwa bahati mbaya nilichukuwa uamuzi wa kumuacha kutokana na kuona ananitesa sana katika mahusiano...
0 Reactions
45 Replies
8K Views
Mie ni kijawa mtanzania ila sipo Tanzania kwa sasa...Ningependa kukutana na marafiki wa kike wenye umri kuanzia 18-26....Mengi tutaongea huko,aliye serious...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Wasichana huwa wanasema umenipenda au umenitaman!. Je unaweza kutamani kitu ambacho haujakipenda?. Mi nashndwa kuelewa kuwa unaweza kumtamani msichana ambae haumpendi. Nawakilisha.
0 Reactions
23 Replies
4K Views
Katika rabsha za hapa na pale jamaa kalikwaa gono kwa nyumba ndogo. Baada ya siku kadhaa maumivu makali, kaenda hospital kaambiwa ana gono. Kapewa ma-antibayotik, kapona but siku chache baadae...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Nyie wadada mnaonyemelea waume za watu tunaomba kesho siku kuu muwaache wanaume wakae na familia zao na kusheherekea. Kesho muwe wavumilivu mtafute shughuli yoyoye tu ya kufanya. Acheni ku beep na...
1 Reactions
72 Replies
5K Views
Habari wadau. Naamini kila mtu kwa namna moja au nyingine katika maisha yake alishawahi kuomba msaada kwa ndugu yake akapata au asipate. Na katika kuupata/kutopata msaada huo kuna mambo fulani...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Kuna jamaa mmoja jana amefanya kituko..........alikuwa kakaa kijiweni na rafiki zake, ghafla kwa mbali akamuona mama wa mkewe akija na njia ile kilipo kijiwe chao. Jamaa akakimbia na kujificha...
0 Reactions
24 Replies
4K Views
Back
Top Bottom