Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Hivi leo si ajabu kumsikia mwanamke akikueleza kuwa amedumu kwenye ndoa/uhusiano miaka kenda, lakini hajawahi kufika kwenye kilele cha huba, anatamani kumsaliti mwenzi wake ili kupata raha...
2 Reactions
21 Replies
31K Views
shemeji wa kike wa baba yaNGU mdogo anani hitaji kimapenzi,tena ana niambia mimi na yeye si ndugu kabisa,zaidi baba yangu mdogo kumuoa dada yake.Na akaonggeza wazazi wake yeye waliooana ndugu...
0 Reactions
48 Replies
6K Views
Jamani wana JF maji yamenifika shingoni, Ni mume wangu nampenda na kumuheshimu sana ila kuna mambo yanayonikera,mda mwingine ananilazimisha nikae naye kwenye baa mpaka usiku sana nikimshauri kuwa...
0 Reactions
54 Replies
6K Views
Najua wapo weng watajiuliza maswal meng sana ila ni kwel kwamba natafuta msichana ambaye baadaye atakuwa mke wangu, vigezo umri:asizidi miaka 23 awe tayar kupima ukimwi asiwe mref wala mfupi...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Una shosti wako mpenzi; wote mmeolewa na mnaishi vizuri na waume zenu! Kutokana na ukaribu wenu, waume zenu wamejikuta na ukaribu fulani. Umepata safari ya kikazi nje ya mji, na umepata room...
0 Reactions
62 Replies
5K Views
hello jf...iam very serious with this!!mimi ni kijana mwanaume wa umri usiozid 30...maisha yangu kwa ujumla ni ya kawaida kwa sasa kwani ninajitegemea..najitokeza kwenye jukwaa hili kwa request...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Nilimfahamu mwaka 2000,wakati huo wote tulikua waajiriwa wa kampuni moja ya kusafirisha mafuta,kwa sasa ni mfanyabiashara binafsi na ni rafiki yangu,aliniambia tatizo lake kama ifuatavyo;ana...
1 Reactions
62 Replies
8K Views
Hivi hapa MMU mpo na Mkeo/Mumeo?je mnajitambua mnajijua?kila mmoja wenu anajua ID ya mwenzie?Je ndani simnajimwaya?kwani hapa ni somo tosha!Au kila mmoja kimyakimya?Maana kama mnajuana ID lazima...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Wapendwa wanaJF Ni matumaini yangu wote mu wazima. Nimewamiss sana wote. Kwa mara nyingine tena ninawaomba tushee pamoja baadhi ya kumbukumbu (memories) ambazo tulishawahi kuzipitia kwenye...
13 Reactions
491 Replies
30K Views
Jamani i have been seeing this kwenye maeneo mengi na kwa wanawake wengi, hawapendi kutaja umri wao kabisa hasa wale ambao tayari kaumri kao kamevuka miaka 25, why?
0 Reactions
62 Replies
5K Views
Hebu chukulia kwamba mumeo amefikia mahali kwamba, hana anachokusaidia, yaani ni mzigo. Ni mzima wa akili, mwili na anafanya kazi, lakini hana msaada wowote kwako. Wewe ndiye unalisha familia na...
1 Reactions
23 Replies
3K Views
msichana kuwa na jinsia mbili ya kike na ya kiume ni ULEMAVU AU NI FARAJA KWAKE KUZITUMIA ZOTE.
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Natangaza rasmi kuwa according to my plan nitafunga ndoa tarehe 25/12/2012. Now the hunt for my wife to be start now officially
0 Reactions
56 Replies
4K Views
Wana JF naomba mchango wenu, inawezekana kwa mwanamke kugundua kama ni mjamzito baada ya siku 3 ya kufanya SEX? if YES ni Dalili gani izo!
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Ni kweli unaweza ukasamehe na ukasahau kutoka moyoni? Nimejaribu imenishinda. Wanajf nisaidieni njia ya kusamehe na kusahau kutoka moyoni
0 Reactions
22 Replies
7K Views
Hivi wanaume tuliooa tukijivua gamba na kusema kucheat basi je nyie wanawake mjini patakalika?au wengi wenu mtatia huruma?Maana wasio oa kila mmoja anamtuwe!
1 Reactions
21 Replies
3K Views
Mwanamke asipokuwa mwangalifu wakati akimuomba mwanaume amsaidie jambo, anaweza kutengeneza mazingira ambayo yatakuwa ni njia au chanzo kizuri kwa ndoa kusambaratika. Kuna aina ya uombaji ambayo...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Wana JF, leo nimeenda kanisani na nimemsikia mchungaji anahubiri eti hata ukimkuta mke wako au mmeo anazini inabidi umsamehe.. Jamani hili linawezekana au ni hadithi za abunuwasi? MSAADA.
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Natafuta girlfriend serious, mcheshi, mwenye hekima, anamjua Mungu.. Umri kuanzia miaka 20-26.. Nickname isiwatishe ni funny name.. Naishi Mikocheni A, elimu yangu ya Chuo.. Aliye tayari...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Kuna mdada flan hv nilmpga sound ka miez 7 imepita akanikataa kwa kigezo cha kwamba ana msela wake na vle vle haijui vzr tabia yangu!wel,me nkamwambia isiwe tabu coz stil we cn be good frds,bac...
1 Reactions
51 Replies
4K Views
Back
Top Bottom