M Museven JF-Expert Member Joined Aug 22, 2011 Posts 629 Reaction score 452 Sep 22, 2011 #1 Mi ni mwanamme, nahitaji msichana awe girlfriend wangu. Awe mtiifu, mwenye nidhamu na anayeishi Kahama. Kwa mawasiliano just PM me.
Mi ni mwanamme, nahitaji msichana awe girlfriend wangu. Awe mtiifu, mwenye nidhamu na anayeishi Kahama. Kwa mawasiliano just PM me.
Vin Diesel JF-Expert Member Joined Mar 1, 2011 Posts 9,087 Reaction score 6,391 Sep 22, 2011 #2 Na awe tayari kuishi Uganda. Kila la kheri mkuu
Power G JF-Expert Member Joined Apr 20, 2011 Posts 3,884 Reaction score 1,200 Sep 22, 2011 #3 Wewe Prezida wa Uganda, unataka girl friend wakati mai waifu wako ni minister kwenye serikali yako! Unanishangaza sana!
Wewe Prezida wa Uganda, unataka girl friend wakati mai waifu wako ni minister kwenye serikali yako! Unanishangaza sana!
King Kong III Platinum Member Joined Oct 15, 2010 Posts 61,061 Reaction score 90,351 Sep 22, 2011 #4 Poa mkubwa mu7 utapata tu...
T Tikerra JF-Expert Member Joined Sep 3, 2008 Posts 1,702 Reaction score 150 Sep 22, 2011 #5 Ninyi watu ovyo sana,unatafuta girlfriend JF!?Mtakuja kuparamia ma-Freemason mnyonywe damu mkome.Kwa nini usiende kwenu ukatafuta mwanamke? Museven said: Mi ni mwanamme, nahitaji msichana awe girlfriend wangu. Awe mtiifu, mwenye nidhamu na anayeishi Kahama. Kwa mawasiliano just PM me. Click to expand...
Ninyi watu ovyo sana,unatafuta girlfriend JF!?Mtakuja kuparamia ma-Freemason mnyonywe damu mkome.Kwa nini usiende kwenu ukatafuta mwanamke? Museven said: Mi ni mwanamme, nahitaji msichana awe girlfriend wangu. Awe mtiifu, mwenye nidhamu na anayeishi Kahama. Kwa mawasiliano just PM me. Click to expand...
Mzee Platinum Member Joined Feb 2, 2011 Posts 13,620 Reaction score 5,867 Sep 23, 2011 #6 Kweli vijana wa siku hizi wameishiwa na mistari.
Kabakabana JF-Expert Member Joined Aug 5, 2011 Posts 5,550 Reaction score 1,166 Sep 23, 2011 #7 mhhhh haya kila la kheri
O Olive Member Joined Jun 25, 2011 Posts 88 Reaction score 9 Sep 27, 2011 #8 Mh....nimechoka,naona nipite tu!!