Nilimfahamu mwaka 2000,wakati huo wote tulikua waajiriwa wa kampuni moja ya kusafirisha mafuta,kwa sasa ni mfanyabiashara binafsi na ni rafiki yangu,aliniambia tatizo lake kama ifuatavyo;ana...
Hivi hapa MMU mpo na Mkeo/Mumeo?je mnajitambua mnajijua?kila mmoja wenu anajua ID ya mwenzie?Je ndani simnajimwaya?kwani hapa ni somo tosha!Au kila mmoja kimyakimya?Maana kama mnajuana ID lazima...
Wapendwa wanaJF
Ni matumaini yangu wote mu wazima. Nimewamiss sana wote.
Kwa mara nyingine tena ninawaomba tushee pamoja baadhi ya kumbukumbu (memories) ambazo tulishawahi kuzipitia kwenye...
Jamani i have been seeing this kwenye maeneo mengi na kwa wanawake wengi, hawapendi kutaja umri wao kabisa hasa wale ambao tayari kaumri kao kamevuka miaka 25, why?
Hebu chukulia kwamba mumeo amefikia mahali kwamba, hana anachokusaidia, yaani ni mzigo. Ni mzima wa akili, mwili na anafanya kazi, lakini hana msaada wowote kwako. Wewe ndiye unalisha familia na...
Hivi wanaume tuliooa tukijivua gamba na kusema kucheat basi je nyie wanawake mjini patakalika?au wengi wenu mtatia huruma?Maana wasio oa kila mmoja anamtuwe!
Mwanamke asipokuwa mwangalifu wakati akimuomba mwanaume amsaidie jambo, anaweza kutengeneza mazingira ambayo yatakuwa ni njia au chanzo kizuri kwa ndoa kusambaratika. Kuna aina ya uombaji ambayo...
Wana JF, leo nimeenda kanisani na nimemsikia mchungaji anahubiri eti hata ukimkuta mke wako au mmeo anazini inabidi umsamehe.. Jamani hili linawezekana au ni hadithi za abunuwasi? MSAADA.
Natafuta girlfriend serious, mcheshi, mwenye hekima, anamjua Mungu.. Umri kuanzia miaka 20-26..
Nickname isiwatishe ni funny name..
Naishi Mikocheni A, elimu yangu ya Chuo..
Aliye tayari...
Kuna mdada flan hv nilmpga sound ka miez 7 imepita akanikataa kwa kigezo cha kwamba ana msela wake na vle vle haijui vzr tabia yangu!wel,me nkamwambia isiwe tabu coz stil we cn be good frds,bac...
Nina shaka sana, kwani WANA JF, huyu Rostam, kwenye speech yake toka.. matukio-michuzi: kauli ya mbunge wa igunga Mh Rostam Aziz wakati akijiuzulu leo, si ndiye aliyesema siasa ndani ya ccM ni...
Wanajf,
Natumaini weekend imeanza vyema. Kwa hivi karibuni nimekuwa nikifanya utafiti binafsi juu ya mahusiano nikagundua kwamba wanawake, hasa wanachuo wanadanganyika sana kwa sababu wengi wapo...
Hii nukuu imenikumbesha zile siku za balehe, karibuni msome na kutoa maoni yenu.
As I sat there in English class, I stared at the girl next to me. She was my so called "best friend". I stared at...
Eti jamani, kama tumejaliwa tuna kanyumba kako compicated kiasi, tuseme kama ka EL kule monduli, tukiajiri house cleaners kadhaa, wakisafisha nyumba nzima akuwa vibaya?
namaanisha vyumba vyote...
Sasaiv kamezuka kamtindo eti pale unapomtongoza dem au unataka awe mpenz wako,then unamuuliza ka ana boy anakwambia yupo na tena anasoma nje ya nchi huko U.K. au marekani,then unafanya upelelez...
Ukishangaa ya Maksimo ya Paulsen yatakukuta...
ninaishi katika nyumba ya kupanga yenye wapangaji 4 wote wakiwa katika ndoa isipokuwa mimi. kuna rafiki yangu ambaye mara nyingi anafika kwangu hasa...