Mtambuzi
Platinum Member
- Oct 29, 2008
- 8,810
- 15,398
Hebu chukulia kwamba mumeo amefikia mahali kwamba, hana anachokusaidia, yaani ni mzigo. Ni mzima wa akili, mwili na anafanya kazi, lakini hana msaada wowote kwako. Wewe ndiye unalisha familia na unayefanya kila kitu, yeye ama ni kunywa pombe tu, au kufanya umalaya ama vyote.
Je ungeganya nini?
Je ungeganya nini?