Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

hili swali linahitaji majibu yenu wana MMU
0 Reactions
61 Replies
16K Views
Wana JF hivi hili suala la kuasili mtoto (nadhani ndicho kiswahili chake? i stand to be corrected) au adoption kwa Kiingereza kwa hapa kwetu hali ikoje? sheria/sera (kama zipo) zinasemaje? Je...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Jaman wana jf kuna kabinti 2napendana sana lkn hanijui wala cmjui but 2najuana kwa cm 2 na yeye anaonekana ananipenda coz haipiti cku bila kunipigia cm na wakati mwingine hunipigia cm na huni2mia...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
What causes divorce? Seems like a complicated question, but in reality, it is quite simple. Researchers like Drs. Scott Stanley, Howard Markman, and John Gottman have all discovered bascially...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
CLEAVING AND LEAVING - Marriage Message #167 Some spouses set themselves up to leave their marriages because they never properly "cleaved" to their spouse in the first place. The Bible says in...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Yaani ukisikia stori za kinamama wanavyokwenda kwa Kalumanzila utachoka kabisa.Kusema kweli kinababa sijui huwa tunalishwa uchafu kiasi gani.Wengine nasikia wanawapikia waume zao kwa maji...
1 Reactions
68 Replies
9K Views
"uhai wangu hulingana na umbo langu, na huo uhai wangu wenyewe hutegemea uhai wa mtu mwengine" mimi nani?
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Swali linanitatiza, jawabu natafutia, Nimebaki ninawaza, nani atanipatia, Sina wa kunijuza, bora kuwaulizia, Mtu akila ndotoni, huamka ameshiba? Na. M. M. Mwanakijiji (Sauti ya Kijiji a.k.a...
1 Reactions
30 Replies
18K Views
HOME INTERNAL MEMO FROM: FATHER TO: ALL DE PENDANTS AND RELATIVES CC: MOTHER DATE: TODAY ECONOMIC SITUATION AND GROUND RULES Due to the current economic...
3 Reactions
10 Replies
1K Views
hivi jaman unaweza ukamsameh rafik yak kw kutembea n y boy??
0 Reactions
9 Replies
3K Views
Labda leo niwaulize wana JF wenzangu..................... 1. Matusi ni nini? 2. Nani alikuambia kwamba kuna matusi, au ni nani alikufundisha matusi? 3. Matusi yana athari yoyote? 5. Zipi hizo...
0 Reactions
75 Replies
6K Views
4 HAPPY MARRIAGE. 1.never both be angry at the same time 2.never yell at each other unless the house is on fire 3.if one of you has 2 win an argument,let it be your mate 4.if you have 2 criticize...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Nina rafiki yangu,anapenda kwenda uvunguni hadi aibu.Amemaliza masomo yake UDOM mwaka huu. Kwakua maisha ya mtaani ni magumu,akaomba tempo kufundisha katika shule moja inaitwa brain trust mjini...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Nimemzidi kisomo mtu ambae ananipenda na kunijali sana na namuona ananifaa kuwa mwenza wangu maishani, mimi nakaribia pata mastesr wakati mwenzangu hata certificate hana. Ila ni mtu ambae...
1 Reactions
31 Replies
3K Views
Habari zenu wapenzi wangu woote! Hivi ni kwa vipi starehe inaweza kuwa kikwazo katika ndoa? Starehe ninazozungumzia hapa ni pombe na club. Inawezekana kwako isiwe starehe ila kwa mwingine ni...
6 Reactions
47 Replies
5K Views
Wapenzi wa MMU,naombeni maoni yenu juu ya hili,ni wakati gani muafaka wa kuanza mahusiano mapya baada ya kuachana na mpenzi wako??na nini naweza kufanya katika kipindi hicho cha break up kiweze...
2 Reactions
21 Replies
4K Views
Msichana wangu katoa mimba yangu ili aolewe na mtu mwingine aliyekubaliana naye.Nasikitika sana kwani nakumbuka binti aliambiwa na Daktari kua hawezi kushika mimba halafu kapata katoa.Na sasa...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Kuna mzee mmoja amedai kuwa amechoshwa na tabia ya mke wake ya kudekeza watoto mpaka wanataka kuharibika. Amesema anakelwa na mengi toka kwa wife wake hadi kuna siku aliamua kuchukua cheti cha...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Nilileta uzi hapa usemao;'Nisaidien nifanye nn ili aniache na maisha yangu'.Nashukuru nilipata mawazo mengi sana kutoka kwenu,na jtano iliyopita nikayatumia kwa kuwafuta maraki zake 2 wanaommudu...
0 Reactions
103 Replies
8K Views
Hi jf members, jamani juzi nipo na mzee mmoja analalamika eti watoto wake hawana msaada. Nikagundua kwamba tunazaa tu ila watoto ni "liabilities" and not assets. Yaani huwezi rejesha gharama zako...
0 Reactions
69 Replies
6K Views
Back
Top Bottom