Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

kweli mawazo yanabadiika...sijui upuuzi huu nilipost
0 Reactions
30 Replies
6K Views
TABUTUPU ALIOA MIAKA MITANO ILIYO PITA BAHATI MBAYA HAWAISHI TENA NA MKEWE TATU. NINI KILITOKEA? MKASA: BAADA YA MIAKA YA NDOA, HAKUNA MTOTO ALIYE ZALIWA . MAMA MKWE (MAMA TABUTUPU) KILA WEEKEND...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Jaman wanajf ivi kama mwanamama kajigundua ana saratani ya shingo ya kizazi na uwezekano wakupata mtoto hakuna. Je aifiche hii siri asimwambie mume wake au amwambie. Na hajawah kupata mtoto
0 Reactions
14 Replies
2K Views
mimi ni kijana mtanashati sana na nimemaliza elimu ya chuo kikuu. bado kazi yangu sio stable sana ila naitaji nipate mwanamke ambae tunaweza kuishinae. awe mzuri kwa sura tabia na akivaa nguo ziwe...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Uzoefu unaonesha kwamba baadhi ya wanaume au wanawake hutumia kile walichokiona kutoka kwa wazazi wao katika ndoa zao. Tabia za wazazi huakisi sana maisha ya watoto wao hususan katika maisha yao...
4 Reactions
23 Replies
4K Views
jamni inajulikana kwa wanaume ambao wanaangalia picha za ngono kuwa mara nyingi tunatokea wanatamani ku-do na wanawake kama wale wanao onekana kwenye hizo picha.....sasa nataka jua je wanawake pia...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wanasayansi hivi sasa wanakiri kwamba, huwa inatokea mpenzi akamshika mpenzi wake kwenye akili, yaani akili yako inaweza kushikwa na mpenzi wako na ukasumbuka sana. Kwenye lugha za mitaani hali...
2 Reactions
14 Replies
3K Views
WAPO WATU WANAOGOPA KUOGA TANGU WAKIWA AWAJAOA AMA KUOLEWA NA MPAKASASA WAMEOA AMA KUOLEWA BADO WAKIFIKA NYUMBAN JUOGA NI TATIZO KUBWA SANA Nirudi kwenye kichwa cha habari Yawezekana wewe ni...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Binamz na Wapwaz! Niwapongeze na kuwatia moyo wote wenye mapenz mema na mliotayari kutoa msaada pale amabpo imehitajika na kubidi! Ila kuna suala moja moja limekuwa likijitokeza katika michango...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Hii silaha si maarufu sana kwa wanawake, ipo silaha nyingine ambayo wapo wanawake wanaipenda sana kuitumia wakiwa kwenye ndoa. Kwa nini baadhi ya wanawake hupenda kutumia silaha ya kuwanyima...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Assallamu Aleikum! Nimekuwa na bwanangu miaka 13 bila shida na watoto wawili. Mara si mara, tulihamia mombasa na bwanangu kapata msichana wa kikamba. Nikapata mimba na huyo msichana kasema...
1 Reactions
26 Replies
3K Views
Ninahitaji kua na mwenza sasa sifa: Mwenye kujazia kwa chini ya kiuno miguu ya bia mweupe wa tanga na zanzibar watapata kipaumbele cha kwanza dini yoyote sio freemason au mpagani
0 Reactions
3 Replies
1K Views
KUALA LUMPUR, Malaysia (AP) — Malaysian police said Tuesday they have busted a sex slave ring and rescued 21 Ugandan women who were forced into prostitution after being lured to Malaysia with...
0 Reactions
0 Replies
830 Views
Mimi ni mwanaume nina mpenzi wangu ambaye anapenda sana kutishia kuniacha kila inapotokea ugomvi kidogo tu. Mara nyingi nimekuwa nikijitahidi sana kuomba msamaha hata kama kosa ni la kwake, ili tu...
0 Reactions
21 Replies
6K Views
You cannot change the past but you will ruin the present if you keep worrying about the future.<!--[if !supportEmptyParas]--> <!--[endif]-->
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ukweli Mapenzi ni Matamu na ni Machungu! Je, umewahi kumpenda mtu kuliko maisha yako mwenyewe na ukampa kila anachohitaji lakini ukaishia kujuta kwa sababu amekusaliti na kukuumiza? Sisi sote kwa...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Mimi ni wife niliyewahi kutendwa mno na hubby wangu for the past 5 yrs yani alikuwa hasikii wala haoni kifupi hakunijali hata, na mungu alinijalia moyo wa kuyavumilia mengi mno(cheating zaidi)...
0 Reactions
58 Replies
6K Views
Huo ndo ukweli wenyewe!Don't bother yourself,live your life!
2 Reactions
31 Replies
3K Views
Kama tu katika maisha ya kawaida kuna wakati una'regret' kuwa kwa nini ulifanya hivi na sio vile..mfano..labda kama ni masomo unaweza kusema 'kwa nini nilisoma Sheria badala ya Uchumi'??.. au kwa...
2 Reactions
14 Replies
2K Views
ndg naombeni mnisaidie nimshauri rafiki yangu. kabla au hata kipindi akiwa na msichana bunduki(pen....c) inacmama sana kuonyesha ina hamu sana ya ku do..lakini wakati ukifika ili waanze ku do...
0 Reactions
26 Replies
4K Views
Back
Top Bottom