Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Habari zenu, natafuta mwanamke wa kuzaa naye watoto wawili wa kiume tu, sababu nitazitoa baadae. ila sitaki tuoane, sitaki tukae pamoja kama mume na mke, kila mmoja akae kivyake.
1 Reactions
27 Replies
3K Views
Wenzangu wana JF, nasikitika kuwajulisha kuwa nimefiwa na baba yangu mdogo, ambaye tulikuwa tumeshibana naye sana, na alikuwa ndiye baba yangu pekee aliyenijali na kunitunza tangu alipofariki baba...
14 Reactions
143 Replies
9K Views
hallo wapendwa nawatakia jioni njema na week end njema....
2 Reactions
15 Replies
2K Views
Hakika she loves for real....she gave me her love, her trust and everything...she loves me much better, better than i love myself but the problem is i dont love her, inaniuma sana kuona huyu binti...
0 Reactions
39 Replies
3K Views
Habari za leo ndugu zangu kama mnakumbuka kichwa cha habari hapo juu leo nimekutana na wahusika na nimewapa ushauri wenu ila nilitumia njia ya kuchunguza kama ujauzito ni kweli wa rafiki yangu kwa...
0 Reactions
88 Replies
6K Views
Kama imetokea, ni mara chache sana wanaume wanaonunua miili ya wanawake kuzongwa na jamii. Kama ikitokea ni pale tu mwanaume fulani anaposhindwa kujilinda ipasavyo hadi siri yake ya kwenda kwa...
0 Reactions
15 Replies
4K Views
Imefika mahali mwanamke anasema "I'm leaving you" au "Naondoka" na anaweza hata kuanza kufunga virago na hata kukata tiketi. Je ina maana gani? Je mwanamme afanye nini? Je anatingisha kiberiti tu...
3 Reactions
64 Replies
8K Views
Natafuta marafiki wa kuchat nao huku jf kwani nipo lonely sana huku jf
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Jamani wana jamvi, hili linatusumbua sana. Utashangaa wakati wa uchumba na urafiki watu wanakuwa na mapenzi tele, wanakumbatiana na mengine mengi! wanapendana na kuambiana you mean the world to...
1 Reactions
25 Replies
3K Views
mwenzenu nina mkosi.nimemkuta anayejiita mpenzi wangu anasasambua mbele za watu usiku wa manane pale maisha club alhamis kwenye show ya twanga.anacheza hadi watu wanampigia makofi na kumtuza...
1 Reactions
69 Replies
6K Views
Habarini, Rafiki yangu kaniomba ushauri. Anasema wanapokuwa kwenye chakula cha usiku Mumewe hafiki kileleni. Badala yake hutumia masturbation ili kuweza kukidhi haja zake. Ni jambo ambalo...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Bila shaka hata wewe umeshawahi kukutana na kauli kama hii kutoka kwa wanaume, wengi wao wakiwa ni wale ambao umri unazidi kusonga lakini wakiwa bado hawajapata wenza wa kuoa na kujenga familia...
1 Reactions
18 Replies
4K Views
Joined JF in 1st of march year 2011...didnt know that you were a member... Friends we became...and now something i feel for you... Could this be true? coz everday i think of you... Yes,its...
0 Reactions
94 Replies
6K Views
This is fact. The more you get used to "kutendwa", the less painful it becomes...
2 Reactions
47 Replies
5K Views
Wanajamvi kwa hili mnanishaurije,kuna girl nilikuwa nafanya naye dating,halafu kweli kama amenipenda,sasa juzi usiku nikiwa skype nilijiweka invisible,sijui alifanyaje kosa akaniadd kwenye skype...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Natumai wote mko pouwa wapendwa wana jf!nisameheni kwa kutoonekana maeneo haya siku nyingi ila mungu ni mwema nimerudi tena,hapa simuongelei mtu wala kuigiza ila hii na yangu mwenyewe imenitokea...
0 Reactions
26 Replies
4K Views
41. Kupanga kwamba niki rudi nyumbani tu nitapokeana na mwenzi wangu kwa furaha ghafla unawasili unaingiwa na chuki moyoni juu yake. 42. Kuchelewa kurudi nyumbani bila sababu ya msingi (Baada ya...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Hili ni tukio la kweli juzi jumamosi saa mbili usiku,jamaa alimuaga mkewe mapema kuwa ataenda saluni kunyoa nywele akitoka kazini saa moja usiku,mkewe akamkubalia ila naye akamuomba akitoka kazini...
0 Reactions
48 Replies
4K Views
Habari wote, >>>Harry alipochoka kufanya kazi zake akazima taa, akambusu mkewe, >>>akalala na usingizi mzito ukampitia. Mara akamwona mwanamme amesimama >>>kitandani. >>> >>>"Toka hapa nani wewe...
1 Reactions
24 Replies
3K Views
Wanafunzi wa sekondari, wanachuo na wale walio chini ya umri wa miaka 30 ndio wanaoongoza kwa vitendo vya uchoropoaji wa mimba. Na wengi wao wanagongwa na dokta mtoa mimba kwa kisingizio cha...
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Back
Top Bottom