Falling Again!

Ligogoma

JF-Expert Member
Aug 27, 2010
3,503
6,376
Habari wana JF???

Wewe ni baba umeoa mwanamke aitwaye Bahati (Jina ni Mfano tu) na umezaa nae mtoto aitwae Zawadi.

Siku zote una gari yako na mkeo pia anayake ya kuendea ofisini kwake, siku ya siku gari yako ukapeleka gereji ikakulazimu uchukue ya mkeo coz yeye anatulia tu ofisini ila shuguli zako ni mizunguko mingi ila ulimuahidi utampeleka ofisini na utamfuata pia!!!

Ulimpeleka asubuhi ukaondoka then jioni ukamfuata na ukamkuta hayupo tayari ikakulazimu umsubiri, ukajifungulia radio na kulaza siti ukajinyoosha humo kwenye gari ukimsubiri mkeo!!

Ukiwa kwenye gari lilikuja kundi la wafanyakazi wenzie na mkeo pale kwenye parking ulipo ila wao wakiingia kwenye magari yao pia, mara baadhi yao walikuja karibu kabisa na gari uliyomo na mmoja akaanza kuongea; ` Sema babaa Bahati a.k.a. baba mdogo wa Zawadi tena inawezekana yule mtoto ni wa kwako mbona mmefanana makomo hivyo? naona umepozi karibu kabisa na gari ya mamaa, leo kakuachia uende nayo nini?? Jamaa yake anavyompenda mkewe akikikujua atakutenda mbaya, achana na wake za watu!!!

Jamaa likajibu, `Acha kunizingua bana mie nimeanza nae mwaka jana mwanzoni wakati mtoto wake ana miaka minne sasa! Siwezi endesha gari aliyonunuliwa na mumewe, angenunua yake sawa. Aaaah!! Wapi simuachi aiseee!!! Lile zigo ukilikamatia ******** alooo siliachi!!!`

Badae jamaa wakaondoka zao bila kuwa makini kama mule ndani ya gari kuna mtu, baada ya muda akaja mkeo mkaondoka!!

The man is falling again, hana raha na anasema kabisa kuwa usingle unanukia!! Ia hajachukua hatua yoyote mpaka sasa!!

SAsa wewe ndo huyo baba, utachukua maamuzi gani, na wewe mama utajiteteaje na huo msala??
 
Mimi sio mbaba lakini ningemshauri achunguze zaidi kwani Bahati hayupo mmoja, na wala zawadi. Achunguze akipata jibu la uhakika ndipo afikirie hatua ya kuchukua.
 
fatilia kwa makini kabla ya kuchukua hatua. Inawezekana ni utani wa ofisini!
 
duh...naomba urudie hapo kwenye lile zigo...********......nahisi uhondo uko hapo...

halafu huyo baba mdogo na mume wake ni ndugu au?????
 
Nina assume huyo baba alisikia maneno hayo na kuwatambua kuwa wale ni wafanyakazi na mkewe...

Kikubwa ni kumwambia wife' ili ajue nilisikia hizo habari.. Ni moyo wa wife' unajua ukweli na ni juu yake kuamua atachukua hatua gani either iwe kweli au si kweli..

Kufuatilia zaidi mambo mengine ni kuongeza "stress" za maisha. Kama mmoja ana-cheat..kuna dalili na evidence nyingi za kusitisha zoezi linaloitwa "ndoa'
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
Nina assume huyo baba alisikia maneno hayo na kuwatambua kuwa wale ni wafanyakazi na mkewe...

Kikubwa ni kumwambia wife' ili ajue nilisikia hizo habari.. Ni moyo wa wife' unajua ukweli na ni juu yake kuamua atachukua hatua gani either iwe kweli au si kweli..

Kufuatilia zaidi mambo mengine ni kuongeza "stress" za maisha. Kama mmoja ana-cheat..kuna dalili na evidence nyingi za kusitisha zoezi linaloitwa "ndoa'

...aiseee respect kwa jibu hili...sina la kuongeza.
 
Mkuu nimekusoma mimi kwanza naondoka naenda home kutengeneza taraka maana useng mtupu maana unataka ushahidi gani??mwambie mimi nawewe basi kama mnawatoto wadogo samehe jali watoto na mwambie jinsi alivyokukwaza nampe uhuru ajitetehe akubali kosa na aseme sirudii nina uhakika anaweza akawamwaga!
 
duh...naomba urudie hapo kwenye lile zigo...********......nahisi uhondo uko hapo...

halafu huyo baba mdogo na mume wake ni ndugu au?????

Siyo baba mdogo kama mdogo wa baba ila hapo alimaanisha kuwa baba halisi wa mtoto anayejulikana yupo, huyo ni baba mdogo kwa sababu anatembea na mama wa mtoto husika!!!

Hiyo red hapo......hahahahahaaaaaa!!! Itapelekwa uvunguni!! Kuifuata kule kazi bana!!!
 
Mkuu nimekusoma mimi kwanza naondoka naenda home kutengeneza taraka maana useng mtupu maana unataka ushahidi gani??mwambie mimi nawewe basi kama mnawatoto wadogo samehe jali watoto na mwambie jinsi alivyokukwaza nampe uhuru ajitetehe akubali kosa na aseme sirudii nina uhakika anaweza akawamwaga!

...daaahhh, aisee slow down bana....sio kila unalolisikia lina maana sawa na 'unavyofikiria.'...usiache mke ungali bado unampenda.
 
Mimi sio mbaba lakini ningemshauri achunguze zaidi kwani Bahati hayupo mmoja, na wala zawadi. Achunguze akipata jibu la uhakika ndipo afikirie hatua ya kuchukua.
Si walisema kabisa bahati ambae huyo bwana wake kapaki karibu ya gari alonunuliwa na mume wake, ambae ana mtoto wa miaka 4 etc, hapo taya ri umesha confirm wanaongelea mke wko. ila hakikisha hawakujua umo ndani ya gari coz sometimes mtu anaweza kujifanya kasema tu bila kujua upo, kumbe ana maana ya kufikisha ujumbe.
Pia ongea na bahati mwenyewe.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom