Mwana wa Kitaa
Member
- Jul 20, 2011
- 50
- 4
Hali hii inahitaji uvumilivu kwa kuwa endapo utagundua mahusiano ya mwanamke huyo na mme wake wa zamani yanaendelea, tena jamaa anakuja hadi nyumbani kwako wakati umekwenda kutafuta. Je cha kufanya hapa ni nini? Ukiambiwa na majirani unakataa, ukimuuliza mkeo anakuambia ana muda mrefu hawajawasiliana hata kwa sim, wakati hapajapita siku tatu tokea wale raha na jamaa. Unahitaji uwafumanie ndio uamini kwamba bado wanaendeleza mavituzi?