Robert kivuyo
Member
- Sep 12, 2011
- 63
- 3
Ni umri upi au kati ya miaka mingapi hadi mingapi unamfaa mwanaume kuoa.
Ww una miaka mingapi?
under 30 na pia zaidi ya 20
............word!ukiweza kujimudu na kumudu 'jukumu' la kuwa na mke tu ...hata kama ni 21 tu...
Ni umri upi au kati ya miaka mingapi hadi mingapi unamfaa mwanaume kuoa.