Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Habari wanajamvi, Katika hali isiyo ya kawaida nimegundua kuwa mke wangu wa ndoa ame-hack simu yangu na kuweza ku-access mawasiliano yangu yote hasa ya sms tokea mwezi wa 10 mwaka jana 2015 na...
2 Reactions
205 Replies
25K Views
Tendo la ndoa ni kitu cha muhimu sana kuimarisha mahusianao hasa kwa wanandoa, pia hata wapenzi ambao hawajaoana suala la tendo la ngono kwa wengi eso huwa ni la kipaumbele sana. Kuna baadhi ya...
0 Reactions
46 Replies
17K Views
Kama kuna mwana MMU aliyeko Chicago katika jimbo la Illnois nchini Marekani ani PM.Siku tatu zijazo nitakua huko, kuna mambo mawili matatu nataka kumuuliza. Asanteni.
1 Reactions
19 Replies
2K Views
Salaam wakuu... Kwanza namshukuru Mungu kwa kunipa nafasi ya siku ya kuiona ijumaa lengo la kuanzisha thread ni kuojiana na hawa watu mimi nawaitaga malimbukeni yaani hawawezi kuishi maisha yao...
2 Reactions
25 Replies
4K Views
Mademu wengine wana lawama...Wakisikia Boyfriend wake AMECHEAT atapiga kelele...atamsuta weee "Umekosa nini Mwanaume huridhiki,Utamaliza Nyama bucha Ileile,kwani mi sikupiiii,si nakuuliza wewe...
7 Reactions
82 Replies
11K Views
JE KIONGOZI / BOSS WAKO NI BORA? Ili uweze kuwa kiongozi bora na mwenye mafanikio kuna vitu vinne unavyotakiwa kuwa navyo na uweze kuvisimamia. Kwa kujua na kusimamia vitu hivi kutakuwezesha...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
MATOKEO MAZURI AU MABAYA YANATEGEMEANA NA MSINGI ULIOWEKA Kama umewahi kuona jengo lolote kubwa, najua ulishaona, ila unapokuta jengo hilo tayari limekamilika, huwezi kujua msingi ni mkubwa kiasi...
1 Reactions
0 Replies
825 Views
Mumeamkaje, mwenzenu nina hali mbaya. Nimenyimwa unyumba mwezi wa pili sasa, chanzo ni ugomvi wa hapa na pale usiohusiana na mapenzi. Tumesuluhishwa na ndugu na marafiki lakini hola! Sifikirii...
3 Reactions
127 Replies
15K Views
Habari wana jamvi, Mimi ni kijana wa miaka ishirini na mbili pia ni mwanachuo. Nimeleta uzi huu jamvini kwa lengo la kupata msaada utakao nisaidia kuondokana na maumivu haya. Kuna binti mmoja...
1 Reactions
267 Replies
26K Views
Wanaume tuna udhaifu sana na maeneo haya ya wanawake; miguu mizuri, mapaja, tukiona chupi, ama wanawake wakikaa vibaya. Hali inakuwa si nzuri maeneo yetu fulani. Je, Nanyi wanawake mnavutiwa na...
2 Reactions
62 Replies
12K Views
Nahitaji mke mwenye umri kuanzia miaka 28 hadi 33. Awe mkristo, elimu f6 na kuendelea. Awe na mwili wa wastani. Kama una nia ya dhati ni pm tafadhari tuongee zaidi.
1 Reactions
6 Replies
2K Views
MY FUTURE WIFE Mke wangu mtarajiwa, najua uko sehemu salama na ukivuta muda na jamaa mwingine kabla hatujaoana. Lakini kabla sijakuweka ndani nionavyo machache ya kukueleza. 1. My future wife...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Ndoa ni mtihani leo nimekutana na ugomvi mkubwa mwanaume analalama mkewe anataka wafanye mapenzi kila siku hata kama jamaa kachoka yeye anataka sex. Mimi nikaona hili ni tatizo kubwa nikamwuliza...
2 Reactions
42 Replies
7K Views
Wakuu, Poleni na majukumu pia hongereni kwa kumaliza weekend salama. Kuna hili swala la haki sawa nimeona linaweza kuwa tatizo kwa wanawake mimi niko Mwanza leo tulikuwa tunapita mahali barabara...
0 Reactions
2 Replies
972 Views
Salaam wakuu. Nijuavyo mimi watu huingia kwenye mahusiano ya kimapenzi ili kupata faraja, hivyo hutegemea kupata furaha na kuwapa furaha wenza wao. Wengine wamekuwa wakifanikiwa katika hilo na...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Kuna mdada mmoja huku mtaani kwetu amejikuta katika mtihani mzito mpaka kushindwa kuelewa afanye kitu gani, yye ni msichana mwenye umri wa miaka 22 alibahatika kupata mwanaume kipindi akiwa na...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari wanajamvi mimi ni msomaji mzuri sana wa Simulizi, nimeona story mbali mbali hapa jamvini na nimeshasoma baadhi ya hizo, kuna story kama mirathi ya kaka na wakili wa moyo zilizoandikwa na...
5 Reactions
53 Replies
18K Views
KUKAA NA KINYONGO NI KUENDELEA KUJITESA TU Ni kwamba unakosa nafasi ya kufuatilia mambo mengine muhimu kwako.Unaweza kujiaminisha kwamba kinyongo ulichomwekea mtu unastahili kabisa...
5 Reactions
12 Replies
4K Views
1. Wengi wao wanapendwa sana ila si kwa ajili ya kuolewa. 2. Wengi wao wanatumika tu pasipo kutolewa mahari. 3. Na hata pale wanapoolewa basi ndoa hiyo hua na mashaka na wasiwasi mwingi. Huu ni...
0 Reactions
85 Replies
44K Views
Igweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Ujue mjini kunatabia za kishamba za kupotezeana mda, mtu unajikuta mnapangwa hata 4...
41 Reactions
149 Replies
33K Views
Back
Top Bottom