Ni mtoto mdogo hajavuka 18 sema maisha yamemchapa.
Ni mwaka na nusu tangu nimjue ni yule msichana hanaga makao ya kudumu zaidi ya kudandia.
Sasa katokea Bwana anataka amuweke ndani walikutana...
Nimekuwa na jioni ngumu kweli, niliitwa kwenye kikao cha usuluhishi mahali (naomba nisipataje jina) Kilikuwa ni kikao cha wanandoa mwanamke akilalamika kuwa mumewe anamnyima haki yake ya ndoa...
Hivi hili swala la marafiki wa jinsia mbili tofauti kusalimiana kwa kukumbatiana linaonekanaje...
Sio mwanzo wa kuanza kutamaniana baada ya hapo, maana lazima vifua vigusane na inapelekea zero...
Wish you luck my sister umpate mwanaume umtakae nimependa the way ulivoandika post yako,u seems u so intelligent i really appricate on you japo sikufahamu..nakuombea upate mume mwema..all the best...
Mwanamke anapendeza na kuvutia zaidi anapokuwa na nywele zake za asili wala sio mawigi. Hiyo ni FACT.
Mawigi yanaboa na yanatupunguzia hisia, mfano pale mwanaume unavyozishika au kujaribu...
Leo nikiwa kariakoo nangoja daladala nikamwona binti mmoja shombe kwenye daladala iliyoandikwa ubungo au simu 1000.Basi ili nipate angalia namba nikapanda.kufika jangwani kinda anauliza jamani...
Wadau mmeamkaje,
Jana nilikua pahala natazama mpira huku nakunywa bia taratibu, ghafla akatokea rafiki wa msichana wangu alikuja hapo bar kuchukua chakula, aliponiona akaja kunisalimia, baada ya...
Wana JF hamjambo?
Kazi yangu kwa mujibu wa job profile yangu ni kuajiri, kufuta kazi, promotions, demotions na kazi zingine zinazohusiana na hizo, hivyo mkasa ninaowapa nimeutoa kwenye...
Ndugu zangu hapa jamvini; Kati ya vitu amvayo vinanikera kwa kina dada basi ni kuvaa WIGI na KUJICHUBUA. Yaani katika maisha yangu hakika nimeshindwa kabisa hata kuwa na mahusiano na mwanamke wa...
MAANA HALISI YA MSAMAHA
Msamaha ni pale ambapo mimi naamua kupoteza haki yangu ya kukuumiza wewe kwa kuniumiza mimi.
Unaposamehe unaepuka kutengeneza maumivu zaidi.
Amua leo kuwasamehe wote...
Habari zenu Wapendwa wote:
Naombeni ushauri wenu tafadhali
Nampenzi wangu nampenda sana tena sanaa mahusiano yetu ni mapya na hayana mda mrefu ndio kwanza tuna mwezi mpaka sasa, nilimshawish...
Habari wanajamvi,
Katika hali isiyo ya kawaida nimegundua kuwa mke wangu wa ndoa ame-hack simu yangu na kuweza ku-access mawasiliano yangu yote hasa ya sms tokea mwezi wa 10 mwaka jana 2015 na...
Tendo la ndoa ni kitu cha muhimu sana kuimarisha mahusianao hasa kwa wanandoa, pia hata wapenzi ambao hawajaoana suala la tendo la ngono kwa wengi eso huwa ni la kipaumbele sana.
Kuna baadhi ya...
Kama kuna mwana MMU aliyeko Chicago katika jimbo la Illnois nchini Marekani ani PM.Siku tatu zijazo nitakua huko, kuna mambo mawili matatu nataka kumuuliza.
Asanteni.
Salaam wakuu...
Kwanza namshukuru Mungu kwa kunipa nafasi ya siku ya kuiona ijumaa lengo la kuanzisha thread ni kuojiana na hawa watu mimi nawaitaga malimbukeni yaani hawawezi kuishi maisha yao...
JE KIONGOZI / BOSS WAKO NI BORA?
Ili uweze kuwa kiongozi bora na mwenye mafanikio kuna vitu vinne unavyotakiwa kuwa navyo na uweze kuvisimamia.
Kwa kujua na kusimamia vitu hivi kutakuwezesha...
MATOKEO MAZURI AU MABAYA YANATEGEMEANA NA MSINGI ULIOWEKA
Kama umewahi kuona jengo lolote kubwa, najua ulishaona, ila unapokuta jengo hilo tayari limekamilika, huwezi kujua msingi ni mkubwa kiasi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.