KITU CHA KUFANYA PALE WATU AMBAPO HAWAKUAMINI KAMA UNAWEZA KUFANYA
Kama unataka kufanya jambo jipya, kama unataka kufanya jambo
tofauti na wengine walivyozoea kufanya, naweza nikakuhakikishia...
NI VIGUMU LAKINI INAWEZEKANA
Kusamehe kuna faida nyingi sana kwa anayesamehe hasa pale unapoamua kusamehe bila hata kuombwa msamaha na kusamehe yale ambayo kibinadamu hayasameheki.
Siwezi...
Mm ni kijana mwenye umri miaka 25 elim degree mkristo mcheshi ninajitambua natafuta msichana mwenye umri miaka kati ya18_25 dini yoyote rangi yoyote isipokuwa asiwe mweusi sana elim kuanzia 4m4...
Igweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Nimefanya biashara ya wake za watu kitambo sanaa. Nina uzoefu wa miaka si chini ya 5 katika fani hii, na mwaka huu 2016 nimekata shauri...
Habari wakuu,
Mimi ni mgeni humu naomba kuongea kitu. . . .
Nilipokuwa na miaka 12 nikiwa kwetu mtwara nilianza kuujua ulimwengu wa mapenzi...Na aliyenitambulisha si mwingine bali ni Mwasi...
Wanajamvi habari za leo,
Kwa hakika nimeleta wazo langu hili hapa jamvini lengo langu kubwa ni mwanamke wa kiarabu.Sifa na mambo mengine tutaeleweshana tutakapo kuwa tumewasiliana
Habari wakuu,
Juzi kati nilipata kusikia kwenye BBC kwamba ndoa nyingi siku hizi Uingereza takribani aslimia 70 ni za serikali nilishtuka kidogo, ina maana Ulaya watu hawataki tena kufunga ndoa...
CHAGGA WOMEN
First Date: You get to buy her Amarula (or Redds), mbuzi choma and dance the whole night. You have to buy her credit, to organize for the second date.
Second Date: You get to buy...
Kule uswahilini mara nyingi ndiko kunakosikika hili neno,naomba kuuliza, jambo lenyewe ni kubemenda mtoto. Sijawahi kuona mtoto aliyebemendwa. Hivi ni kweli kitu hicho kipo? na kinasababishwa na...
Heshima zenu wana MMU,
Ni Mwaka 2016 na mwezi wa kwanza ndo huo upo katikati unaelekea kuisha hii ni kuonesha kuwa siku hazigandi na dunia inazunguka.
Kilichonifanya niandike huu uzi ni kuhusu...
Unapoingia katika mahusiano ya kimapenzi sio lazima yaishie kwenye ndoa. Mahusiano mengine yapo uli ujifunze jambo.Kuna migogoro, tabia mbaya, kila aina ya ubaya, uongo, kutoendana tabia. Haya...
Zamani niliamini jambo hili linawezekana. Lakini kupitia uzoefu wangu nimeona jambo hili haiwezekani. Nitashare nanyi uzoefu wangu.
Nimewahi kufahamiana na wadada kadhaa katika pilikapilika...
Salam JF.
Kuna jambo kama mwana jamii linanicha na maswali mengi sana, si lingine nalo ni jambo hili la tohara.
Una jua linapokuja swala la kijamii kuna maswala lazima yatofautiane baina ya...
Ni mwaka sasa nimekuwa kwenye mahusiano na huyu Dada na tatizo kubwa kwetu ni Mapenzi .
Tunaishi vizuri sana na tunaheshimiana like tuko pamoja japo tuko mikoa tofauti ila tatizo ni pale...
1. VIPWENTE- hawa ni aina ya wapenzi ambao yeye anaweza akakumisi hadi anahisi network zinakata lakini hakutafuti ng'ooo iwe kwa meseji au laivulaivu kwa sababu hataki kuonekana yeye ndo wa kwanza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.