Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Habari zenu wana MMU. Natumaini mko poa, na wk-end inakwenda vzr. Ok. Kuna hii tabia ya watu kuwa kwenye mahusiano kisiri siri, yan wanagegedena kimya kimya! Vyuoni, Ofisini, Kwenye za kupanga...
0 Reactions
69 Replies
14K Views
  • Poll Poll
Akiwa amepitiwa na usingizi ndani ya nondo za gereza Tarick anasikia nyayo za mtu zikimsogelea Taratibu. Huku akiwa hoi kutokana na uchovu wa kipigo kizito alichopewa na kikosi cha usalama wa...
17 Reactions
221 Replies
46K Views
Wana JF habar zenu. Naishi na familia yangu,miaka minne iliyopita tulihamia kwenye nyumba yetu hapa Dar. Jirani yetu alitupokea kwa furaha na kutuambia habar za mtaa mzima,alituambia pia watu...
1 Reactions
69 Replies
9K Views
Mwanamke asipokua makini anaweza kujikuta unatumiwa na wanaume hata 100. Mwanaume kaumbwa kushawishi. Ni jambo la kawaida kwa mwanaume kutongoza na kuwa hata na wanawake 10. Hata ukitizama...
3 Reactions
19 Replies
5K Views
Verse 1} Yanaanza kama safari twende folani ukaone, Kumbe yana nguvu ni hatari ukishanasa ndio uponie..x2 Mungu aliumba dunia na Maajabu yaake Ya mwenzako sikia omba yasikupate, eeih ..x2...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
NITAMTAMBUAJE MKE /MUME AMBAYE MUNGU AMENIANDALIA? Na:pastor:Emmanuel Swali; Bwana Yesu asifiwe mtumishi wa Mungu Pastor:Emmanuel Awali ya yote napenda kumshukuru Mungu kwa ajili yenu kwa huduma...
3 Reactions
13 Replies
16K Views
Nina rafiki yangu amekuwa akiishi Dodoma na msichana wake, the same room as Mr and Mrs japo hawajafunga ndoa. Jamaa wangu amekuwa akimwamini sana msichana wake, kwasababu kiukweli ukimtazama...
2 Reactions
205 Replies
28K Views
Kwamba kifanyio kina expiry date... Hiki kitu kinaumiza mno! Kwamba hakuna kufanya utundu tena wala kuruka ruka naumia sana tena sana! Kama kungekuwa na jinsi ya kuichakachua hii expire date...
1 Reactions
76 Replies
12K Views
Jamani kumekuwa na tabia ya watu kuwa busy na kushindwa kuwanyonyesha watoto kwa miezi sita bila kuwapa kitu chochote, hili ni kosa na tatizo kubwa sana kwa jamii. Utafiti unaonyesha watoto...
10 Reactions
108 Replies
20K Views
Siku moja jioni katika mji flani, kulikuwa na basi likisafiri kutoka mji huo kuelekea mji mwingine. Lilikuwa ni basi kubwa na limejaa abiria. Wakati wakiendelea na safari, ghafla, mvua kubwa...
5 Reactions
5 Replies
1K Views
Hodi wanajamvi wakuu wa JF, Najitokeza hapa kwa mara ya kwanza, kwanza nitoe shukrani kwa jinsi mnavyodadavua mada husika, Nimeoa hivi Karibuni, hivo siku ile ya harusi tulipotoka tu kanisani...
0 Reactions
126 Replies
26K Views
USIKUBALI NDOTO ZAKO ZIZIMIKE KWA MAONI YA MTU MWINGINE Zama hizi tunazoishi kila mtu ana maoni na kila mtu ana maoni kuhusu jambo lolote.Na kila mtu anaweza kutoa maoni yake juu ya jambo lolote...
4 Reactions
4 Replies
1K Views
USIJILAUMU KWA MAKOSA ULIYOKWISHAFANYA HAKUTAKUSAIDIA KWA NAMNA YOYOTE ILE ZAIDI YA KUKURUDISHA NYUMA. Moja ya hatua muhimu sana unazotakiwa kupiga ili kuweza kufikia mafanikio makubwa ni kuacha...
4 Reactions
10 Replies
3K Views
NI LAZIMA UPANDE KABLA HAUJAVUNA Ni lazima upande mbegu kabla ya kuvuna mazao.Unavyopanda mbegu nyingi zaidi ndivyo unavyovuna mazao mengi zaidi. Ukipanda mbegu kiganja kimoja, utavuna gunia...
0 Reactions
2 Replies
977 Views
KITU CHA KUFANYA PALE WATU AMBAPO HAWAKUAMINI KAMA UNAWEZA KUFANYA Kama unataka kufanya jambo jipya, kama unataka kufanya jambo tofauti na wengine walivyozoea kufanya, naweza nikakuhakikishia...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
NI VIGUMU LAKINI INAWEZEKANA Kusamehe kuna faida nyingi sana kwa anayesamehe hasa pale unapoamua kusamehe bila hata kuombwa msamaha na kusamehe yale ambayo kibinadamu hayasameheki. Siwezi...
2 Reactions
2 Replies
1K Views
Mm ni kijana mwenye umri miaka 25 elim degree mkristo mcheshi ninajitambua natafuta msichana mwenye umri miaka kati ya18_25 dini yoyote rangi yoyote isipokuwa asiwe mweusi sana elim kuanzia 4m4...
0 Reactions
0 Replies
910 Views
Igweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Nimefanya biashara ya wake za watu kitambo sanaa. Nina uzoefu wa miaka si chini ya 5 katika fani hii, na mwaka huu 2016 nimekata shauri...
29 Reactions
180 Replies
40K Views
Kama ilivyoandikwa hapo juu kuna hasara au faida gani kuwa kimahusiano na mwanamke ambae amezalishwa na mwanaume mwingine.?
0 Reactions
28 Replies
5K Views
Habari wakuu, Mimi ni mgeni humu naomba kuongea kitu. . . . Nilipokuwa na miaka 12 nikiwa kwetu mtwara nilianza kuujua ulimwengu wa mapenzi...Na aliyenitambulisha si mwingine bali ni Mwasi...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
Back
Top Bottom