Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.5K
Posts
209.5K
Threads
7.5K
Posts
209.5K
  • Ms R

JF Prefixes:

Hi, Pole na pilika pilika za siku hasa hapa tunapoelekea weekend na mvua izi zinazonyesha mda wa usiku ndo balaa!sijui sie walala nje weekend ikinyesha itakwaje.. Back to point, I stand to...
2 Reactions
138 Replies
19K Views
Habari ndiyo hiyo. Kuna watu wajinga sana eti anasema kabisa mbele za watu hawa watoto wa kike ambao ni wanafunzi wa sekondari na msingi wanampenda sana na anawashughulikia kweli. Sasa nawapa...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Wapendwa wadada wa siku hizi mmekaa kibiashara sana,unamkuta dada umempenda na kumtangazia ndoa anakuuli kwani dear kwenu mko wangapi?sasa mtu kama huyu umjibu nini,kwani unaenda kuolewa na watu...
0 Reactions
38 Replies
3K Views
Tuassume una girlfriend wako ambaye ni mwanachuo/mfanyakazi, hivyo hamuishi pamoja yeye huja kukutembelea au kulala mara moja moja. Wewe mwanaume ni mfanyakazi. Kitu nashindwaga kuelewa...
1 Reactions
164 Replies
15K Views
1]-Kama hustahimili mzunguuko wa tatu ambao labda ni mrefu lakini yeye haridhiki mpaka apige bao la tatu basi msaidie kwa kumpa mikono au mdomo na utakapohisi kuwa anakaribia jirushe au jigeuze...
0 Reactions
7 Replies
6K Views
Hivi mwanamke ana pendelea nini hasa katika mahusiano ili azidi kukupenda na kukuhitaji?
0 Reactions
24 Replies
2K Views
Daaaah! kweli nimeamini utu uzima haupigi hodi unajikuta tuu matendo yanabadilika na unaanza kubehave kama mtu mzima... Ni juzi juzi tuu mara mama kakutumia ki 50 tigopesa baba anakuuliza hali...
0 Reactions
25 Replies
4K Views
Wanawake wengi hugopa kupata mimba kuliko magonjwa sugu ya ngono kama kaswende, gono, sonono, pangusa, lawalawa n.k. Wako tayari kutumia kinga kukwepa mimba lakini suala la kuambukizwa magonjwa...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Inasikitisha sana The Horrifying Truth About Tanzania's Den Of Prostitutes - YouTube
0 Reactions
11 Replies
31K Views
Nilipokaa nakutafakari maswali mengi katika mkutadha huu,bado sina jibu kamili juu ya hili kwanini watu wahangaika kutafta mke au mme kwa vigezo eti urembo au uhandsome,kweli ni lazima...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Utaratibu uliojengeka miongoni mwa wanawake ni kwamba siku zote mwanaume ndiye anayeanzisha “movie ya mambo yetu yale” na ndiye steering kwa kila kitu. Yaani hata mwanamke awe na nye** kiasi gani...
2 Reactions
99 Replies
9K Views
Wakuu hivi ni kwanini Sinza Mori imekuwa ni kijiwe kikuu cha machangu?
0 Reactions
41 Replies
7K Views
  • Closed
Ni ukweli usiopingika kuwa ndoa nyingi zimepooza siku hizi hasa pale mwanamke anapata mtoto. Mapenzi kabla ya kupatikana mtoto huwa ya moto moto ikiambatana na manjonjo ya kila aina...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Salam Za Dhati Kwenu Wadau! Kutokana Na Kautafiti Ka Kunyunyiza Nilikokafanya, Nimegundua Wengi Wetu Hali Ya Vinu na Michi Yetu Hatuiwekei Bajeti Ya Maana Ili Kuifanya Ivutie....... Hapa...
0 Reactions
32 Replies
3K Views
Nimekaa Nikafikiria Jinsi Vijana Wa Kisasa Tunavyoyaendesha maisha Yetu, Baada Ya Kufafanya Utafiti... Nilichogundua Ni Kuwa Mizinga Ilikuwepo Toka Zamani...Tena Ni Zaidi Ya Sasa, Ila Tofauti...
7 Reactions
37 Replies
3K Views
Hivi kwanini mtu anaamua kuoa au kuolewa?
0 Reactions
35 Replies
7K Views
Habri zenu wana MMU' Nimekua nikijiuliza mara kwa mara kuhusu system wanayotumia wanawake kufichua watu wanaowasumbua kwa kuwahitaji ki mapenzi ambapo mwanamke huamua kumwambia bwana yake na...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Kituo cha 10. Yesu anavuliwa nguo. Eee Yesu tunakuabudu tunakushukuru, kwakuwa umewakomboa watu kwa msalaba wako mtakatifu. Askari wanamvua kwa nguvu nguo zake zilizogandamana na madonda...
4 Reactions
13 Replies
2K Views
Niliudhuria moja ya semina kuhusiana na kemikali za viwanda vya nguo na ngozi! moja ya mtoa mada ktoka ofisi ya Mkemia Mkuu alieleza faida na madhara yatokanao na matumizi mabaya ya Kemikali kwa...
0 Reactions
26 Replies
5K Views
jukwa la wakubwa ni lipi na lipo pande zipi jf......nisipopata jibu la kueleweka ntaandamana ncji nzima l. Amri sio ombi.
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Back
Top Bottom