Wanawake wenye makalio makubwa na namba 8

Wanawake wenye makalio makubwa na namba 8

eden kimario

JF-Expert Member
Joined
Jun 13, 2015
Posts
10,356
Reaction score
16,401
1. Wengi wao wanapendwa sana ila si kwa ajili ya kuolewa.

2. Wengi wao wanatumika tu pasipo kutolewa mahari.

3. Na hata pale wanapoolewa basi ndoa hiyo hua na mashaka na wasiwasi mwingi.

Huu ni utafiti wangu mdogo tu japo sijaoa bado.
 
Hizi tafiti za vichochoroni.....hata utaratibu na kanuni za kufanya tafiti unakuta mtu hajui lakin et nimefanya "tafiiti".
 
Like that!
 

Attachments

  • 1452582290009.jpg
    1452582290009.jpg
    26.1 KB · Views: 2,545
Kimario wateja wake ni wanawake ndo huja dukani, huwa wanamsimulia akiwahudumia dukani
 
Ila kama kuna kaukweli hapo bigup kimario ila umeshafungua ofisi
 
1. Wengi wao wanapendwa sana ila si kwa ajili ya kuolewa.

2. Wengi wao wanatumika tu pasipo kutolewa mahari.

3. Na hata pale wanapoolewa basi ndoa hiyo hua na mashaka na wasiwasi mwingi.

Huu ni utafiti wangu mdogo tu japo sijaoa bado.
Subiri uoe
 
Iwe hisia au tafiti, ila ndo ukweli huo! Hawa watu hitumika tu na akiolewa ndoa huwa na utata sana.
 
Umetumia...
-Methodology gani?
-Literature review zipi?
-Research field ipi?

Btw, Utafiti uliufanyia Moshi au dukani?
Hahahaaa siko dukani bana
Kufanya utafiti ni rahisi tu mkuu kama utaamua
Si lazima wafanye twaweza
 
Wanawake wenye makalio makubwa inasemekana wanzlaza watoto bright sana yani wenye akili nyingi na uwezo mkubwa

Lakini sio haya makalio ya kutengeneza akwa mchina
 
1. Wengi wao wanapendwa sana ila si kwa ajili ya kuolewa.

2. Wengi wao wanatumika tu pasipo kutolewa mahari.

3. Na hata pale wanapoolewa basi ndoa hiyo hua na mashaka na wasiwasi mwingi.

Huu ni utafiti wangu mdogo tu japo sijaoa bado.
Huenda. Ngoja na mimi nifanye utafiti.
 
Back
Top Bottom