Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Habari za leo wadau, Kuna movie ijulikanayo kwa jina la 'Why did I get married too' ni nzuri sana, kwa wale ambao hamjabahati kuiona tafuteni muicheki, kwakweli ni nzuri sana inafundisha...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Habari pipoz, Hivi inakuwaje maana mie hata sielewi unakuta mtu na mkewe wanaishi na wanawatoto wawili au mmoja. Mke ni mama wa nyumbani na mume ni mtoka asubuhi akapambane na kilicho mbele yake...
5 Reactions
67 Replies
9K Views
Vijana wenzangu unapoamua kuoa mrembo, msomi na binti wa digital, lazima ukubaliane na haya; 1. Wasichana wengi sasa hawajui kupika. Wanajifanya wamechoka nitanunua msosi sana tu, tena usipokaza...
6 Reactions
141 Replies
19K Views
Ubinafsi ni tabia ya kufanya mambo huku ukitanguliza maslahi yako mbele bila kujali mtu uliye karibu naye. Ni kweli kwamba kujipenda kwanza ndio jambo la msingi lakini tafsiri hiyo haipaswi...
1 Reactions
4 Replies
1K Views
Wasalaam...... Mimi mwanaume mwenye umri wa miaka thelathini (30) nimejiajiri na pia ni mhitimu wa shahada ya kwanza, lakini hapa naomba kwa aliye tayari yaan mwanamke wa umri wowote ..ana...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
MACHOZI Machozi ni maneno ambayo moyo hauwezi kuyaeleza.Machozi ni hisia kubwa sana inayotolewa na mtu, inaweza kuwa furaha au inaweza kuwa huzuni.Hakikisha unaleta machozi ya furaha kwa watu...
4 Reactions
24 Replies
3K Views
Kila siku naona kilio wanaume wakilia kukosa wanawake wazuri wa kuoa, haina maana wanawake wa kuolewa hawapo, wapo ila wamehodhiwa na mabazazi. Nuwaombe mabazazi na wengine wote mnaohodhi idadi...
0 Reactions
40 Replies
5K Views
  • Poll Poll
habari zenu wadau, naamini wengi wenu ni wazima na buheri wa afya kama ukiweza kufika kusoma mada hii. niende kwenye mada tajwa. Kumekua na wimbi kubwa la wanandoa wengi kutoka nje ya ndoa zao...
2 Reactions
21 Replies
4K Views
....hili jambo nmekuwa nikilitafakari muda mrefu sana lakin mwisho wa siku naangukia kwenye jibu moja....sitokuwa nakosea sana nikisema MAPENZI & PESA ndo vitu vinavyoiendesha hii dunia ya...
2 Reactions
30 Replies
4K Views
Kwa mdada yeyote aliyejitunza mpaka kufikia umri Wa miaka 23- 26 nampa zawadi ya ndoa bila kujali mrefu, mwembamba, mweupe, mweusi hata kabila haijalishi. Awe mjasiriamali au kama ana elimu awe...
1 Reactions
62 Replies
8K Views
Ni mtoto mdogo hajavuka 18 sema maisha yamemchapa. Ni mwaka na nusu tangu nimjue ni yule msichana hanaga makao ya kudumu zaidi ya kudandia. Sasa katokea Bwana anataka amuweke ndani walikutana...
0 Reactions
34 Replies
5K Views
Natafuta mchumba wa kike umri 25-30 fani lazima awe mwalimu either secondary, primary, lecturer or tutor. Kwa mawasiliano zaidi ni PM
0 Reactions
16 Replies
3K Views
Nimekuwa na jioni ngumu kweli, niliitwa kwenye kikao cha usuluhishi mahali (naomba nisipataje jina) Kilikuwa ni kikao cha wanandoa mwanamke akilalamika kuwa mumewe anamnyima haki yake ya ndoa...
5 Reactions
83 Replies
11K Views
Hivi hili swala la marafiki wa jinsia mbili tofauti kusalimiana kwa kukumbatiana linaonekanaje... Sio mwanzo wa kuanza kutamaniana baada ya hapo, maana lazima vifua vigusane na inapelekea zero...
0 Reactions
44 Replies
6K Views
Wish you luck my sister umpate mwanaume umtakae nimependa the way ulivoandika post yako,u seems u so intelligent i really appricate on you japo sikufahamu..nakuombea upate mume mwema..all the best...
0 Reactions
110 Replies
14K Views
Mwanamke anapendeza na kuvutia zaidi anapokuwa na nywele zake za asili wala sio mawigi. Hiyo ni FACT. Mawigi yanaboa na yanatupunguzia hisia, mfano pale mwanaume unavyozishika au kujaribu...
18 Reactions
729 Replies
72K Views
Leo nikiwa kariakoo nangoja daladala nikamwona binti mmoja shombe kwenye daladala iliyoandikwa ubungo au simu 1000.Basi ili nipate angalia namba nikapanda.kufika jangwani kinda anauliza jamani...
3 Reactions
14 Replies
4K Views
Wadau mmeamkaje, Jana nilikua pahala natazama mpira huku nakunywa bia taratibu, ghafla akatokea rafiki wa msichana wangu alikuja hapo bar kuchukua chakula, aliponiona akaja kunisalimia, baada ya...
8 Reactions
66 Replies
7K Views
Wana JF hamjambo? Kazi yangu kwa mujibu wa job profile yangu ni kuajiri, kufuta kazi, promotions, demotions na kazi zingine zinazohusiana na hizo, hivyo mkasa ninaowapa nimeutoa kwenye...
30 Reactions
122 Replies
22K Views
Hi
Hi
1 Reactions
3 Replies
910 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…