Galacha Maestro
JF-Expert Member
- Sep 29, 2011
- 1,353
- 2,229
MACHOZI
Machozi ni maneno ambayo moyo hauwezi kuyaeleza.Machozi ni hisia kubwa sana inayotolewa na mtu, inaweza kuwa furaha au inaweza kuwa huzuni.Hakikisha unaleta machozi ya furaha kwa watu wako wa karibu.
Je, mtu wako wa karibu huwa unamtoa machozi ya aina gani?
Bonyeza like kama niyafuraha. Na kama ni huzuni tuambie kwanini?
Machozi ni maneno ambayo moyo hauwezi kuyaeleza.Machozi ni hisia kubwa sana inayotolewa na mtu, inaweza kuwa furaha au inaweza kuwa huzuni.Hakikisha unaleta machozi ya furaha kwa watu wako wa karibu.
Je, mtu wako wa karibu huwa unamtoa machozi ya aina gani?
Bonyeza like kama niyafuraha. Na kama ni huzuni tuambie kwanini?