Hug (kumbatio) kwa marafiki wasio wapenzi

Hug (kumbatio) kwa marafiki wasio wapenzi

westgate

JF-Expert Member
Joined
Sep 23, 2013
Posts
278
Reaction score
279
Hivi hili swala la marafiki wa jinsia mbili tofauti kusalimiana kwa kukumbatiana linaonekanaje...

Sio mwanzo wa kuanza kutamaniana baada ya hapo, maana lazima vifua vigusane na inapelekea zero distance...

Kuna umuhimu wa kukataza hug kwa marafiki wa mpenzi wako wa jinsia tofauti!?
 
Hivi hili swala la marafiki wa jinsia mbili tofauti kusalimiana kwa kukumbatiana linaonekanaje...

Sio mwanzo wa kuanza kutamaniana baada ya hapo, maana lazima vifua vigusane na inapelekea zero distance...

Kuna umuhimu wa kukataza hug kwa marafiki wa mpenzi wako wa jinsia tofauti!??
Ukute mtoto wa kike mashallah, acha kabisa.
 
Siyo jambo baya... mimi nakumbatia sana marafki wa kike... na nikawaida tu... na saa zingine nakumbatia na matako...
 
Hakuna umuhimu........vile unawaza wewe.......sio wote wanawaza hivyo......hagi is zea tu stei.......
Tatizo sio kuwaza... issue ni hali baada ya tukio, umkute mdada kajazia kifua af hug yenyewe inawekwa poz sekunde kadaa hapo akikuachia unajifikiria mara mbili mbili
 
Siyo jambo baya... mimi nakumbatia sana marafki wa kike... na nikawaida tu... na saa zingine nakumbatia na matako...
Huyo ni rafiki au mpenzi... unamshika hadi ma*&ko
 
ila mi sipendi mtu anayenihaaaag hovyo eti rafiki nooo tupeane mikono mwisho kuhagiana kwa baby over
 
Hivi hili swala la marafiki wa jinsia mbili tofauti kusalimiana kwa kukumbatiana linaonekanaje...

Sio mwanzo wa kuanza kutamaniana baada ya hapo, maana lazima vifua vigusane na inapelekea zero distance...

Kuna umuhimu wa kukataza hug kwa marafiki wa mpenzi wako wa jinsia tofauti!??
Mbona middle east salamu za madume kwa madume ni mabusu mwaaa na hamna kitu? Hizo hisia zako tu, kama wewe huwezi waachie wenzio.
 
Hug ni kwa wanafamilia na mume au mke...marafiki mkono unatosha....
 
Back
Top Bottom