Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.5K
Posts
210.2K
Threads
7.5K
Posts
210.2K

JF Prefixes:

Hbr ya kuamka wana MMU wenzangu? Siku yangu imeanza vema, hofu ni kwenu nyinyi. Tuwaombee heri wagonjwa ili warudi ktk siha zao za kawaida na warejee ktk utebdaji wao wa kila siku. Tuwafariji...
0 Reactions
11 Replies
878 Views
Duniani hapa hakuna kitu kinachoumiza kama mapenzi haswa ukute unampenda mtu hakupendi, au unampenda mtu anakutenda. Baada ya misukosuko mingi ya kimapenzi sitapenda tena! wala sitojaribu...
3 Reactions
53 Replies
6K Views
Habari wana JF, Kila siku nimekua nkitamani sana kuolewa, nikiwa peke yangu ni kuononeka tu moyoni juu ya hilli. Na hii imetokea baada ya kuachana na aliyekuwa mpenzi wangu ambaye tulipanga...
1 Reactions
68 Replies
7K Views
Hivi kuwa na MTU unampenda sana lakini anakupa stress na kuwa na MTU usiyempenda lakini anakukufanya uwe happy every day.YUPI BORA
1 Reactions
15 Replies
1K Views
Boy friend wangu yupo masomoni mwaka mzima,nilipozidiwa nkaanza tabia ya kutoka njee na bosi wa clearing and freight foward then kitabia cha kutoka na wenye hela kikashika kasi tena sana hapa...
15 Reactions
499 Replies
34K Views
Together 4 Ever Wives: Your husband's greatest need is to be respected. If asked to choose between being loved and being respected, your husband would rather be respected than be loved. In fact...
6 Reactions
26 Replies
3K Views
Nimekuwa katika kipindi cha muda mrefu hapa Songea yapata miezi 4. nikipambana na life la hapa. Kama mnavyofahamu kabisa kijana lijari sometimes ni vigumu kivumilia hali ya upweke. nika jipanga...
0 Reactions
46 Replies
7K Views
Unajijua kabisa kama wewe ni mume wa mtu, unadate mchepuko hadi kuupangia chumba/nyumba, ukitoka huko ukija unakaa kidogo kisha unarudi kwako mkavuu! Huyu unamwacha nanani usiku mzima hali anajua...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Nikiwa nyumbani nikitazama TV mara likapita tangazo la condomu "Dume", mwanangu wa kiume 6 years akaniuliza, eti baba dume ni nini? Nikakaa kimya huku wageni tuliokuwa nao sitting room wakishikwa...
1 Reactions
18 Replies
2K Views
nilipita maskani moja leo jioni (maskani ya vijana)nikakuta mada ya mchepuko salama kama ifuatavyo kuwa na namba ya simu ambayo wife/mume hataijua hii uitumie kuwasiliana na mchepuko nunua...
3 Reactions
26 Replies
4K Views
Kama kichwa cha habari kinavyosema, leo ni siku ya kucheza muziki duniani. Hivyo Jitahidi ucheze hata kidogo ikizingatiwa kuwa hii siku imepangwa mwisho wa mwezi.
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Wapendwa wana MMU wenzangua. Ni jioni nyingine tena napenda kuwashiriksha juu hili tatizo la Mgogoro kati wa maisha ambao huwakumba watu wengi walio katika kipindi cha mpito yaani kuhama kutoka...
3 Reactions
16 Replies
2K Views
Habari wana Jf, Natumaini wengi wetu humu tupo kwenye mahusiano ya kimapenzi au ndoa kwa ujumla..,yapo mambo mengi ambayo wanaume hamyapendi kwenye mahusiano yenu yanayofanywa na wenzi wenu...
0 Reactions
76 Replies
9K Views
Jamani za leo bandugu, Hivi ni dawa gani nzuri ya mwanaume malaya...nimechoka mmmmmmhhhh.
0 Reactions
86 Replies
21K Views
Habarini wanaMMU. Ili mapenzi ya dhati kuwepo, lazima kuwepo na physical attraction kati ya mke na mme? na je, mapenzi ya dhati yanaweza kuexist bila physical attraction? (hapa ni kwenye...
0 Reactions
17 Replies
1K Views
Huwa nasikia watu wanafanya mapenzi kwa njia ya simu, je mwana JF hususani mwana MMU umewahi kujaribu njia hii na ukafika on the peak...? Na wanawake pia huwa mnafika kule kwa njia ya simu tu...
0 Reactions
87 Replies
21K Views
Habari zenu wadau wa MMU. Naona jukwaa limevamiwa na watoto wengi ambao wanaomba ushauri mambo madogo madogo ambayo kwa akili ya kawaida unaweza solve bila msaada wa mtu. Tukiachana na...
0 Reactions
2 Replies
677 Views
Habari watu wa humu ndani, Mimi ni kijana nina mpenzi wangu tangu tupo advance(secondary school) ,almost ni kama miaka nane hivi tupo ndani ya mahusiano. Tukafanikiwa kupata mtoto, pande zote...
0 Reactions
84 Replies
9K Views
Nimeamua niokoke sasa,mapenzi basi mibaba inanitamani tu nimefikiria sana mie bado mdogo sna,nikiendekeza starehe ntakufa mapema naichukia mibaba yote inayonisumbua kwa pesa zao nawachukia kutoka...
2 Reactions
128 Replies
9K Views
Ndoa ni ya kanisani na Umeishi na mkeo kwa miaka mnne na kubarikiwa kupata watoto wawili. Ghafla unagundua mkeo ni mshirikina kwa kuwasiliana na waganga ili ndugu zako wathurike tena kwa...
0 Reactions
28 Replies
2K Views
Back
Top Bottom