Hbr ya kuamka wana MMU wenzangu?
Siku yangu imeanza vema, hofu ni kwenu nyinyi.
Tuwaombee heri wagonjwa ili warudi ktk siha zao za kawaida na warejee ktk utebdaji wao wa kila siku.
Tuwafariji...
Duniani hapa hakuna kitu kinachoumiza kama mapenzi haswa ukute unampenda mtu hakupendi, au unampenda mtu anakutenda. Baada ya misukosuko mingi ya kimapenzi sitapenda tena! wala sitojaribu...
Habari wana JF,
Kila siku nimekua nkitamani sana kuolewa, nikiwa peke yangu ni kuononeka tu moyoni juu ya hilli. Na hii imetokea baada ya kuachana na aliyekuwa mpenzi wangu ambaye tulipanga...
Boy friend wangu yupo masomoni mwaka mzima,nilipozidiwa nkaanza tabia ya kutoka njee na bosi wa clearing and freight foward then kitabia cha kutoka na wenye hela kikashika kasi tena sana hapa...
Together 4 Ever Wives:
Your husband's greatest need is to be respected. If asked to choose between being loved and being respected, your husband would rather be respected than be loved. In fact...
Nimekuwa katika kipindi cha muda mrefu hapa Songea yapata miezi 4. nikipambana na life la hapa.
Kama mnavyofahamu kabisa kijana lijari sometimes ni vigumu kivumilia hali ya upweke. nika jipanga...
Unajijua kabisa kama wewe ni mume wa mtu, unadate mchepuko hadi kuupangia chumba/nyumba, ukitoka huko ukija unakaa kidogo kisha unarudi kwako mkavuu! Huyu unamwacha nanani usiku mzima hali anajua...
Nikiwa nyumbani nikitazama TV mara likapita tangazo la condomu "Dume", mwanangu wa kiume 6 years akaniuliza, eti baba dume ni nini? Nikakaa kimya huku wageni tuliokuwa nao sitting room wakishikwa...
nilipita maskani moja leo jioni (maskani ya vijana)nikakuta mada ya mchepuko salama kama ifuatavyo
kuwa na namba ya simu ambayo wife/mume hataijua hii uitumie kuwasiliana na mchepuko
nunua...
Kama kichwa cha habari kinavyosema, leo ni siku ya kucheza muziki duniani.
Hivyo Jitahidi ucheze hata kidogo ikizingatiwa kuwa hii siku imepangwa mwisho wa mwezi.
Wapendwa wana MMU wenzangua. Ni jioni nyingine tena napenda kuwashiriksha juu hili tatizo la Mgogoro kati wa maisha ambao huwakumba watu wengi walio katika kipindi cha mpito yaani kuhama kutoka...
Habari wana Jf,
Natumaini wengi wetu humu tupo kwenye mahusiano ya kimapenzi au ndoa kwa ujumla..,yapo mambo mengi ambayo wanaume hamyapendi kwenye mahusiano yenu yanayofanywa na wenzi wenu...
Habarini wanaMMU.
Ili mapenzi ya dhati kuwepo, lazima kuwepo na physical attraction kati ya mke na mme? na je, mapenzi ya dhati yanaweza kuexist bila physical attraction? (hapa ni kwenye...
Huwa nasikia watu wanafanya mapenzi kwa njia ya simu, je mwana JF hususani mwana MMU umewahi kujaribu njia hii na ukafika on the peak...?
Na wanawake pia huwa mnafika kule kwa njia ya simu tu...
Habari zenu wadau wa MMU. Naona jukwaa limevamiwa na watoto wengi ambao wanaomba ushauri mambo madogo madogo ambayo kwa akili ya kawaida unaweza solve bila msaada wa mtu. Tukiachana na...
Habari watu wa humu ndani,
Mimi ni kijana nina mpenzi wangu tangu tupo advance(secondary school) ,almost ni kama miaka nane hivi tupo ndani ya mahusiano.
Tukafanikiwa kupata mtoto, pande zote...
Nimeamua niokoke sasa,mapenzi basi mibaba inanitamani tu nimefikiria sana mie bado mdogo sna,nikiendekeza starehe ntakufa mapema naichukia mibaba yote inayonisumbua kwa pesa zao nawachukia kutoka...
Ndoa ni ya kanisani na Umeishi na mkeo kwa miaka mnne na kubarikiwa kupata watoto wawili. Ghafla unagundua mkeo ni mshirikina kwa kuwasiliana na waganga ili ndugu zako wathurike tena kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.