Kiluuj
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 692
- 277
Mpo wakuu?
Ninaye rafiki yangu. Baada ya kuwa nje ya nchi kwa miaka miwili amerudi nyumbani na kukuta mkewe wa ndoa akiwa na mimba ya miezi nane.
Kumwuuliza mwenye mimba mkewe amemwambia kwamba mimba ni ya baba mkwe.
Amekuja kwangu kuniomba ushauri kwani anapaswa kurudi tena wiki ijayo.
Alikuwa anataka kuwaua wote wawili ila nikamwambia hilo sio suluhisho. Amesema atarudi kesho kupata ushauri zaidi.
Nipeni ushauri wa haraka.
Ninaye rafiki yangu. Baada ya kuwa nje ya nchi kwa miaka miwili amerudi nyumbani na kukuta mkewe wa ndoa akiwa na mimba ya miezi nane.
Kumwuuliza mwenye mimba mkewe amemwambia kwamba mimba ni ya baba mkwe.
Amekuja kwangu kuniomba ushauri kwani anapaswa kurudi tena wiki ijayo.
Alikuwa anataka kuwaua wote wawili ila nikamwambia hilo sio suluhisho. Amesema atarudi kesho kupata ushauri zaidi.
Nipeni ushauri wa haraka.