Natafuta rafiki wa kike miaka 20 mpaka 23

Kilangi masanja

JF-Expert Member
Aug 20, 2013
4,493
5,009
Habari wanajamvi,

Ninajitokeza kwenu kutafuta rafiki wa kike ambaye kwa baadae aje awe my wife to be.Niko Lindi umri miaka 26.

Kabila ni Sukuma asiwe mwanachuo na ikiwezekana atokee au awe wa Kanda ya Ziwa au Raska Zone
 
natafuta mtot mkali an pm nimtoe jtano awe na shepu,awe na kimo cha kati au mrefu awe amejazia,asiwe mke wa mtu!ataondoka na donge nono!
 
Aiseee!
Namie natafuta mtoto wa ukweli tutoke ijumaa awe ana figure ya kueleweka, akishikwa anashikika gharama zote nitalipia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom