Wasichana wamezidi mizinga

Wasichana wamezidi mizinga

manSniper

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2015
Posts
814
Reaction score
683
Imekuwa fashion sasa wasichana kupiga mizinga wanailia kama suzuki ukimtongoza tuu umeisha hawakawii kuvua pichu.

Zamani ilikuwa ukimtongoza msichana mpaka umlale ilikua shughuli alafu wananiuzi maana wamefanya ndipo pakumalizia matatizo yao.

Kina dada badilikeni mnadhalilika
 
Nafikir Enzi Hizo Kulikua Hakuna Mfumo Wa "Starehe Gharama". Na " Nipe Nikupe"
 
Toa hela bwana we, usituchoshe.
We enzi hizo ulikuwepo? Kama ulikuwepo na mpaka leo unatongoza basi wewe ndio mwenye shida sio hao wanaokupiga mizinga, na wakupige tu kwakweli.
 
No free lunch now days ...siku hizi hakuna niangusage...!
 
Zile methali kale ndo zimefikia mahala pake kuwa most applicable... "Mtaka cha uvunguni sharti ainame" na Jakaya alisema, "ukitaka kula sharti nawe ukubali kuliwa"

Yakikushinda yote, kata kikojoleo!!
 
Gubula mwenye imi naona soni...! Hakuna tena hii kitu
 
Toa hela bwana we, usotuchoshe.
We enzi hizo ulikuwepo? Kama ulikuwepo na mpaka leo unatongoza basi wewe ndio mwenye shida sio hao wanaokupiga mizinga, na wakupige tu kwakweli.
pesa kwanza
 
sasa we ulitaka wakuvulie pikyu bure? nimemkumbuka O-ten akitakacho binti. pata kamuda uisikilize hiyo nyimbo..
 
Mpaka akupige mzinga wewe kwake unatafuta nin? Kinachotoka lazima kiingie ndugu, dance accordingly
 
Waambie wewe ni yatima watakuonea huruma na nyuchi'rial service utapata for free.
 
Same time wakaushie tu si kuna sabuni bafuni..
 
Hivi mizinga inapigwaje? Mi huwa naombwa hela ya kusuka,simu na labda shopping tu...poleni nyieeee!
 
Kajipige ma selfie (nyeto) ka vp. Tuwachie kaka zako tujipakulie.
 
mizinga mikubwa mikubwa sawa... ila hela za kusuka sijui vocha kama bado hawez kutafuta mwenyewe huyo sio mwanamke...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom