Hivi sisi tunakosa nini haswa

Hivi sisi tunakosa nini haswa

MIGUGO

JF-Expert Member
Joined
Dec 3, 2011
Posts
2,137
Reaction score
3,950
Fundi cherehani kaoa ana familia,muosha magari kaoa,muuza mkaa,mbeba taka hapa kitaa kwetu ana familia,muimba kwaya anaevaaga mabwanga kamuoa demu niliyemuacha lakini demu kapendeza sasa hivi.

Sasa mbona watu wa hali ya chini(sijawadharau wala mi si tajiri) wanaoana na kuwa na familia zenye furaha lakini watu jamii yangu hatuoi?

Unakuta wale wanaokutumikia na kukuita boss wana familia.Kwa nini lakini iwe hivi?Tuna nini?
 
Niliwahi jiuliza sana swali hilo mkuu, ila baada ya kautafit kadogo nkapata jibu, hao watu walio olewa na hao jamaa ukipewa wew hutotaka kuwaoa bado, kifupi ni kuwa tuko very selective. Hata hayo maisha ya furaha unayoyaona kwao ukiambia yawe yako ili na wew uwe na furaha still utagoma na kutaka haya ya kisela
 
Mnachagua sana....mtaoaje??

Kama nimepigana hadi nikapata mnavyovitaka nyie kama majumba,Magari,kazi nzuri na pesa kwanini nisiwe selective??Jiulize kwanini Mzee Mengi ambaye ni mkristo kamuoa Jackline Ntyuyabaliwe.
 
Aisee tuombeane tu mi mwenyewe nashangaa.
 
Kama nimepigana hadi nikapata mnavyovitaka nyie kama majumba,Magari,kazi nzuri na pesa kwanini nisiwe selective??Jiulize kwanini Mzee Mengi ambaye ni mkristo kamuoa Jackline Ntyuyabaliwe.
Nyumba gari na pesa eeeehhhh....hivyo vina mchango kidogooooo (kwa mke kweli kweli, unless kwa anayetaka kukuchuna)

Mwanamke anahitaji zaidi ya magari.....

I wish ningeweza kuelezea..
 
Nyumba gari na pesa eeeehhhh....hivyo vina mchango kidogooooo (kwa mke kweli kweli, unless kwa anayetaka kukuchuna)

Mwanamke anahitaji zaidi ya magari.....

I wish ningeweza kuelezea..
Hahaha kuna thread ya kuhusu hilo nimeianzisha leo
 
Nimeiona.....

Yaani i wish kaka zetu hawa wangejua.
Maana mwisho wa siku wanaishia kujishangaa wana majumba na magari ila hawana wake
Watabisha hadi kesho, ila I wish wangeliangalia hilo kwa jicho la 3. Sema inategemea mtu anataka mwanamke wa aina gani
 
Natamanigi sana maisha ya hao watu but shida ni kwamba siwezi kuayaishi! but it seems wanaenjoy sanaaa..
 
Nimeiona.....

Yaani i wish kaka zetu hawa wangejua.
Maana mwisho wa siku wanaishia kujishangaa wana majumba na magari ila hawana wake
Kwani nyie wanawake wasomi hamko selective?! Tumuombe tu Mungu atupe Imani & Upendo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom