Betason
JF-Expert Member
- Feb 2, 2015
- 352
- 585
Ni kauli ya mdada mmoja tunafanya nae kazi hapa ofisini ni mara ya tatu sasa namsikia akisema hivo akiwa na maana kwamba angezaliwa mwanaume hawa wanawake wangemkoma angegegeda yoyote yule anaemtaka, we umewahi kukutana na mwanamke mwenye fikra kama hizi?
Najiuliza huwa wanaona nini kwa wenzao mpaka wafikirie hivi?
NB; Nipo kwene harakati za kumtafuna japo ni mke wa mtu ili kuifanyia kazi kauli yake.
Najiuliza huwa wanaona nini kwa wenzao mpaka wafikirie hivi?
NB; Nipo kwene harakati za kumtafuna japo ni mke wa mtu ili kuifanyia kazi kauli yake.