SALUM S HEMED
JF-Expert Member
- Mar 4, 2016
- 1,437
- 1,861
Mke wangu toka siku tujue kuwa mimba imenasa dah papuchi naisikia ktk redio tu nikavumilia nikajua mimba changa na kwel ilikuwa inamkimbiza kutapika kila siku..nw ina mwezi 7 inakwenda wa 8 ile hali ya kutapika na kuumwaumwa imepotea toka mimba ina mda wa 3-4 month...ila issue ya kupewa papuchi imekuwa ni tatizo vile vile mpaka nilalamike sana na nikipewa anataka katelelo tu na ni bao 1 tu....hivi hii hali uwatokea mama wajawazito wote au wangu tu??? Nw na 2years ktk ndoa cjawai kuchepuka na sina lengo ilo ila kipndi iki kiukweli nazidiwa...