Mama kaniambia ataniletea mke next week nipende nisipende

jean phillipe beyun

Senior Member
May 18, 2015
142
167
Wadau Sina lengo la kuwachosha bali nimeshtuka sana baada ya mama kunipigia simu jumapili na kufoka mno kwamba marafiki wote wa rika langu wameshaoa na wana watoto mm bado nahangaika

Kwamba nampiga chenga kwa miaka mingi lakini mwisho hamna chochote sasa ameshachoka wiki ijayo anakuja na msichana kutoka nyumbani na kuwa wameshamchunguza na wameshaongea na kwao
Nikamuomba mjomba wangu ambae yupo hapa kwangu kwa shughuli zake binafsi aongee na mama kuhusu suala hilo, wakazungumza kwa simu kwa muda mrefu sana mwisho uncle akadai wameshindwa kuelewana

Kilichonishtua zaidi ni mdogo wangu kule nyumbani kunieleza kuwa anahisi kama Kuna dalili za ngombe kuandaliwa kupelekwa mahala flan

Sasa wadau hivi Kuna umri maalum wa mtu kuoa? Sasa Inakuaje mm kufikisha miaka 37 naonekana kama vile nimechelewa sana? kwani Kuna ukomo? Halaf unaniletaje msichana ambae nilimwona akiwa darasa la kwanza? na nimeambiwa kafeli form four hii ya juzi sasa ndio wanirushie mimi
Haiwezekani

Mm sio kwamba Sitaki kuoa ila kila demu naekua nae mwishoni nakuta hafai naanza upya
Pia nilikua nasubiri nimalize ujenzi ndipo mambo ya kuoa yafuate hivyo kwa kuwa nimeshahamia kwangu mwaka huu ningelipa uzito jambo hili, yote haya nimejaribu kumwelewesha mama lakini hataki kuelewa na anadai kwanza wanawake wa mjini hawafai

Hebu tusaidiane kuhusu hili
Kuna mwenye jawabu hapa?
 
Huna mtoto hata wakusingiziwa? huenda Bimkubwa anataka wajukuu lakini si kwa style hiyo au ulishaambiwa zamani unakawa una rusha rusha?
 
Mama yako hana haki ya kukutafutia mwanamke, anachoweza ni kukushauri tu. Uzoefu wangu, Wanawake wengi wanaotoka kijijini ndio baadae wanakuwa hatari zaidi kuliko haya makuberi ya mjini tuliyoyazoea, ambayo yamecheza na maisha na sasa yatafuta kupumzika.
Ushauri wangu: Tumia akili nyingi zaidi kuweza kuzungumza na mama yako, usimkwaze, mueleze ukweli mipango yako na mwambie hauko tayari kuoa huyo mwanamke anayemleta. Na ufanye hima sasa uoe!
 
Wadau Sina lengo la kuwachosha bali nimeshtuka sana baada ya mama kunipigia simu jumapili na kufoka mno kwamba marafiki wote wa rika langu wameshaoa na wana watoto mm bado nahangaika

Kwamba nampiga chenga kwa miaka mingi lakini mwisho hamna chochote sasa ameshachoka wiki ijayo anakuja na msichana kutoka nyumbani na kuwa wameshamchunguza na wameshaongea na kwao
Nikamuomba mjomba wangu ambae yupo hapa kwangu kwa shughuli zake binafsi aongee na mama kuhusu suala hilo, wakazungumza kwa simu kwa muda mrefu sana mwisho uncle akadai wameshindwa kuelewana

Kilichonishtua zaidi ni mdogo wangu kule nyumbani kunieleza kuwa anahisi kama Kuna dalili za ngombe kuandaliwa kupelekwa mahala flan

Sasa wadau hivi Kuna umri maalum wa mtu kuoa? Sasa Inakuaje mm kufikisha miaka 37 naonekana kama vile nimechelewa sana? kwani Kuna ukomo? Halaf unaniletaje msichana ambae nilimwona akiwa darasa la kwanza? na nimeambiwa kafeli form four hii ya juzi sasa ndio wanirushie mimi
Haiwezekani

Mm sio kwamba Sitaki kuoa ila kila demu naekua nae mwishoni nakuta hafai naanza upya
Pia nilikua nasubiri nimalize ujenzi ndipo mambo ya kuoa yafuate hivyo kwa kuwa nimeshahamia kwangu mwaka huu ningelipa uzito jambo hili, yote haya nimejaribu kumwelewesha mama lakini hataki kuelewa na anadai kwanza wanawake wa mjini hawafai

Hebu tusaidiane kuhusu hili
Kuna mwenye jawabu hapa?
unataka ukioa mwanamke badala ya kufua suruali aanze kufua misuli
 
mwambie mama yako kuwa husimamishi.. miaka 37 bado upo upo mother anataka kutest zali mjini huku mambo mengi usijekuta wameshakugeuza ni mawazo ambayo hata mimi kama ningekuwa mama wa mtoto kama wewe ningewaza......... hakuna ukomo ila lifespand ni miaka 45
 
Mama amekuvumilia kwa miaka 37-18 = 19 hujampa mjukuu sasa ni zamu yako kumvumilia kwa miaka 21 ulitobakiza (as per tanzania life expectancy) otherwise chozi la mama linakuhusu. All the best usiogope FFF elimu ya darasani na maisha ni vitu viwili tofauti
 
Aisee mkuu 37 yrs umri umeenda sana na bado unalalamika Mama ako kukutafutia mke kwa maana ingine bado hujawai tayari kuoa..Usifikirie leo fikiria utakuwa kwenye hali gani mtoto wako atakapokuwa na 20yrs kama utaoa na 40yrs...Na mtoto hapo hata chuo hatakuwa hajamaliza dingi ushaanza tembea na fimbo....Kama hutaki kuletewa oa wako faster na uende nae killage kumtambulisha faster ila 37yrs ni mingi Bro kuwa single boy...
 
mwambie mama yako kuwa husimamishi.. miaka 37 bado upo upo mother anataka kutest zali mjini huku mambo mengi usijekuta wameshakugeuza ni mawazo ambayo hata mimi kama ningekuwa mama wa mtoto kama wewe ningewaza......... hakuna ukomo ila lifespand ni miaka 45
Mama, kwa hiyo unanishaurije?
 
Back
Top Bottom