Jamani wana JamiiiForums,
Niliweka post hapa mke wangu alivyoondoka na akaenda kuishi kwake yaani chumba cha kupanga.
Ila ninakaa namfikiria kila mara hasa kwa mabaya aliyonifanyia, hii hali inanitesa sana, nakaa nikiwa mtu wa hasira na huwa napata usingizi,nikienda bar angalau nikanywa bia kama nne hivi kwa siku.
Nataka kumsahau huyu mwanamke na nimuone kama mtu wa kimataifa je nitumie njia gani? Kaniachia mtoto mmoja naye kaondoka na mtoto mmoja.
Nawasilisha.
Niliweka post hapa mke wangu alivyoondoka na akaenda kuishi kwake yaani chumba cha kupanga.
Ila ninakaa namfikiria kila mara hasa kwa mabaya aliyonifanyia, hii hali inanitesa sana, nakaa nikiwa mtu wa hasira na huwa napata usingizi,nikienda bar angalau nikanywa bia kama nne hivi kwa siku.
Nataka kumsahau huyu mwanamke na nimuone kama mtu wa kimataifa je nitumie njia gani? Kaniachia mtoto mmoja naye kaondoka na mtoto mmoja.
Nawasilisha.