Sabakher Wadau;
Hiki Ninachoandika Sina Uhakika Nacho Na Ila nina Mifano Yake! Kuna Mzee Hapa Nyumba Ya Pili! Yaan Now Kafikisha Hata 65 yrz! Lakin Anagonga Chabo Balaa! Tumemfuma Mara 5...
Miezi kadhaa iliyopita wakati cjapanda cheo nilikuwa nikitumia jina la Galadudu tu nilileta uzi hapa nikiwaambia jinsi ambavyo niliota nimekutana na member mmoja wa Jf (cjui kabisa alikuwa ni nani...
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25 na ni mkristu.
Mwaka 2013 nilitokea kuingia katika mahusiano na msichana mmoja mwenye dini ya kiislamu ambapo mapenzi yetu yalidumu mpaka wiki iliyoisha...
Jamani mwanamke unatia aibu kukata mauno hauwezi, kazi nayo huwezi,ukiingia dakika zote umelalaga tu kama gogo, mapenzi ni raha na sio karaha, khaa!
Stukeni jamani.
Sifa za huyo mwanamke awe anapatikana Dar es salaam, awe mkristo na mcha Mungu, miaka kuanzia 23-26.awe ni mtu wa kujishughulisaha either amehajiriwa au amejiajiri.
Imani yangu ni kwamba yupo...
Joao Pereira, alimkuta penguin yupo mahutuki karibia kufa, akamchukua akamsafisha na kumtibu. Hakutaka kumfuga bali alipopona alimuachia akaenda zake.
Kitu cha ajabu ni kwamba kila mwaka huyo...
Habari wakuu,
Mimi nina swali hivi ni sahihi kweli kwa mwanamke ambae ameolewa kumsifia mwanamme mbele ya mme wake. Mfano nampenda kaka flani,kaka yule mzuri.
Mimi ni mwalimu wa shule moja ambayo sitaitaja. mwezi uliopita mwanafunzi wangu wa kike ambaye yuko kidato cha tatu alinifuata na kuniambia anataka kunipa zawadi...
Sikuwa na hili wala...
Si kale ka mvua ka asubuhi nikachukua mwavuli nikasema nikanunue chapati, sasa kufika nikakuta mama wa chapati hajapika sasa wakati narudi home nikaona kuna kibobo cha maandazi nikasema embu ngoja...
Habarini Wadau,
Nina hilo swali kuwa Je huwa hawa dada zetu wa kikurya huwa wanapenda kuolewa kwa harusi? Hilo swali nimejiuliza sana kwasababu mbili:
1) Nimehudhuria harusi nyingi kiasi ila...
Nimefuatilia sana hili suala nimekuja kuona wanaume waliojiajiri wanazimiwa sana na wasichana mfano mimi nilipokuwa nimeajiriwa nilikuwa nikimtokea msichana anakataa sana, ila nilipojiajiri...
igweeeeeeeeeeeeee,
(Basi wana j isiwe mzozo na gumzo najua nimecopy from someone here in JF) back to the topic.
Mimi nimepanga hapa Ubungo Kibo kwenye nyumba fulani yenye wapangaji wawili mimi...
Ijapokuwa mimi sio mpenzi wa haya manyimbo ya taarab lakini nimepata kusikia kipande kwenye mashairi ya mzee yusuf ambayo yamenisikitisha sana.
Mzee yusuf (MY) alikuwa akiimba huku akiitikiwa na...
Habari za asubuhi bandugu,
Kama ilivyo desturi yangu ya kujaribu kudodosa vitu vilivyo mtambuka japo yawezekana umri wangu ukawa bado haujafikia kuwaza hayo masuala niliona yafaa kuyajua kwa kina...
SIO KILA RAFIKI KWAKO ANAWEZA AKAWA RAFIKI YAKO WA KWELI
Katika Maisha haya ya Leo mtu anaweza akavaa uhusika wa kitu fulani ili tu,afaulu Mission yake kwako.
Wanaume wengi na wanawake wengi...
Ni kisa cha kweli kabisa pale ambapo teja ama kwa kufananisha ama kwa makusudi alipomkomalia konda wa daladala huku akiwa amebeba mtoto kwamba mtoto huyo ni wa Konda huku Konda akipigwa na butwaa...
Nina rafiki, anaomba ushauri.
Ana boyfrend wake ambae yeye anampenda sana lakini issue in hii sasa.
mkaka anamwambia mdada kuwa anampenda lakini kuna yafuatayo ambayo yanamuumiza best wangu...