Teja ataka kumbambikia konda mtoto

Teja ataka kumbambikia konda mtoto

Amavubi

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2010
Posts
30,156
Reaction score
13,268
Ni kisa cha kweli kabisa pale ambapo teja ama kwa kufananisha ama kwa makusudi alipomkomalia konda wa daladala huku akiwa amebeba mtoto kwamba mtoto huyo ni wa Konda huku Konda akipigwa na butwaa.

Salama ya Konda ni pale mdada teja alipoamua kushuka na mtoto huyu baada ya kukoroma sana na kudai kutelekezwa na konda huyo na kusema ana bahati kuna mahali anakwenda la angembwagia mtoto huyo.

Huenda pia ni staili mpya ya kubambikiana kutokana na ugumu wa maisha.

Wewe ungefanyaje kama ungebwagiwa mtoto huyo?
 
ningemchukua nakumpeleka mghahawani namnunulia chakula akishiba ata sema akhsante kaka mi naondoka mana ni njaa tu ndo imemfanya apoteze kumbukumbu na kudhani mi ni baba wa mtoto huyo
 
ningemchukua nakumpeleka mghahawani namnunulia chakula akishiba ata sema akhsante kaka mi naondoka mana ni njaa tu ndo imemfanya apoteze kumbukumbu na kudhani mi ni baba wa mtoto huyo
mateja hawasikii njaa mkuu labda ungempa biskuti tu
 
Back
Top Bottom