Msichana uchumi ukiyumba utasikia 'bora tuachane'

RASAK

Member
Sep 28, 2014
19
8
Sorry sijui kwanini msichana akihisi kauchumi kako kameyumba anasema naona umepata mwingine bora tuachane is it no money no honey?
 
Utasikia kanasema eti "Siku hiz huvutii hata kutoka na wewe". Cjui sasa mtoke mwende wapi na wakat huo mko nje.
 
Kama kuyumba kidogo hawezi kukuvumilia je yakija matatizo haswa si atakukimbia wala usimwone tena?
 
Back
Top Bottom