...in fact some of them do not know what they want in relation!Funny thing about women...
wanayo maanisha hawayasemi
wanayosema sio wanayo maanisha
iko siku nitafunguka...sasa hivi kuna vitu vinanibana...ila ninajuta kumfahamu!
usukuma wangu ndo uliniponza!!tatizo wasukuma tunajifanya tunajuaga mno kudodonkea!!!Pole kwa uliyokutana nayo..
usukuma wangu ndo uliniponza!!tatizo wasukuma tunajifanya tunajuaga mno kudodonkea!!!
hichi kidonda chenyewe hakijapona, akijisikia anakitonesha...nina hamu tena!!!!Nasikia wasukuma wanajua kupenda.. akikupenda anakupenda kweli kweli....
Sa hivi umepata kumbatio la dhati lakini????
hichi kidonda chenyewe hakijapona, akijisikia anakitonesha...nina hamu tena!!!!
ni kumdondokea tu....ila najua naye wajanja watanilipizia!Duh pole.. ujanja wako wote kumbe una mjanja wako zaidi lols...:-D