pitapitapita
Member
- Nov 2, 2010
- 10
- 0
mie nimeachana na mke wangu, lakini wakatu tuanakutana miaka 8 iliyopita nilikuwa na nyumba na shamba kubwa tu, baada ya mambo kutokwenda vizuri, tuliamua kuachana. huyu mama tulionana bomani. sasa alikwenda mahakamani kudai haki yake na mahakama ikaamuru kila kitu kiuzwe na angawiwe asilimia 20%.
1. je vile vitu alivyonikuta nayo vinaingiaje hapa katakia mgawo?
2. je hii asilimia 20% iliyotolewa ni sheria gani inasema hiyo
tafadhali ndugu zangu nisaidieni
1. je vile vitu alivyonikuta nayo vinaingiaje hapa katakia mgawo?
2. je hii asilimia 20% iliyotolewa ni sheria gani inasema hiyo
tafadhali ndugu zangu nisaidieni