Wanawake muache gubu

Wanawake muache gubu

Goliath mfalamagoha

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2012
Posts
601
Reaction score
2,508
Unadhani ni kwanini alikuwa anapigwa kila siku na mume wake
Maana mume kila akifika nyumbani husema nifungulie mke wangu.
mke sifungui huna akili mjinga mwanume wewe kila siku unachelewa kurudi mpaka atamfungulia mume wake na hapo kinachofuata ni kipigo zoezi hili liliendelea kila siku kila wiki kila mwezi kwa muda mrefu
Mwisho yule mama akaamua kmwambia mama mchungaji kuwa mbona wewe hupigwi bila shaka una dawa za miti shamba nipe na mimi

Mama mchungaji kuona hivyo akajua huyu imani yake ni miti shamba
Akaamua kusaga mkaa akachanganya na sukari akampa na akampa mashart kuwa anapokuja mume wako weka hii dawa katika magego yako unauma usiongee ili dawa imkandamize mwili wake
Dada akachukua akafanya hivyo hakupigwa tena unadhani ni nini kilimfanya apigwe na asipigwe
 
Mkaa ulipochanganywa na sukari ukawa mtamu kwahyo alinogewa kumumusa mkaa na sio kumwaga matusi
 
Hakuna uchawi hapo.. ni ile hali ya kuelekeza akili kwenye kutafuna hiyo kitu.. huwezi ongea na kuleta gubu.. utakua unaitikia tu... kama bubu...

Na kutabasamu ukisema ndani ya moyo... nakukomesha....
 
Mama mchungaji nipo chini ya miguu yako lakini sikupigi chabo.
 
Kwa nini huyo mwanaume hurudi usiku usiku?

Halafu msifanye maisha kuwa magumu....akibeba funguo zake tatizo lipo wapi? Au atazipoteza kwenye ulevi????
Ndoa tamu mjue na wala haihitaji complications
 
Kwa nini huyo mwanaume hurudi usiku usiku?

Halafu msifanye maisha kuwa magumu....akibeba funguo zake tatizo lipo wapi? Au atazipoteza kwenye ulevi????
Ndoa tamu mjue na wala haihitaji complications
Haaaaaa we Badili tabia kwanini anaenda kulewa halafu anamuacha mwenzake sasa
 
Kilichofanya asipigwe ni hiyo dawa. Sukari ukichanganya na mkaa ni dawa nzuri sana ya mapenzi
 
Back
Top Bottom