Sasahivi wanaume wamekuwa waongo kuliko kitu chochote hasa kwa sisi wanaume kwanini unamwambia mwanamke kwamba nitakupa kila kitu unachotaka nikubalie tu ili uone yule msichama akishakubali basi...
Huyu dada alikuwa gf wangu long time kitambo. Katika harakati za maisha tukaja kupotezana, si unajua enzi hizo hakuna mitandao.
Sasa mwezi wa 10 mwaka jana tukaja kukutana katika pilika pilika za...
Hivi unajua maana ya neno “engagement?” yaani kile kitendo cha mwanaume kutangaza mbele ya umma jinsi moyo wake ulivyompenda binti fulani na kama alama ya kuthibitisha nia hii ya dhati kijana huyu...
John na Rose walikuwa majirani na walisoma shule moja nchini Kenya, walipendana sana na uhusiano wao ulihama kutoka kwenye urafiki na kuwa mapenzi. Waliahidiana kufunga ndoa, walimaliza shule...
Kimsingi mambo yamepamba moto,hakukaliki kichwa kinapasha joto.
Kumbe kidume amedaka simu ya mke wake akaanza kuchat na mimi story kali za yale mambo yetu,na mimi nikafunguka balaa nikijua nachat...
SPECIAL KWA WADADA
Umepata Bwana, Umempenda Kweli kweli na Umemlalamikia Sana Eti Kwanini Hakupeleki Kwa Wazazi Wake Kukutambulisha, Jamaa Akagoma Sana mwishowe akaona isiwe Kesi Akakupeleka...
Heshima kwenu wakuu
kitambo nilipotea ila nimerudi
Nampenda lakini nataka nimuache
kila nikifikiria kumuacha ananifanyia jambo zuri nasahau mawazo ya kumuwacha,najikuta najiona mjinga
nipeni...
Habari yenu w.akuu,
Kuna Watu nasikia wanasema eti vile vishangazi kwenye ngozi(vialama fulani rangi nyeusi wengine wanaita watoto) ndo idadi ya watoto utakao zaa?
Eti mtu ambaye hazai hawezi...
Image copyrightENOA
Image captionJansen amesema ujumbe wake umefasiriwa visivyo
Jaji mmoja mzungu nchini Afrika Kusini ameshutumiwa vikali baada ya kudaiwa kusema kwenye mitandao ya kijamii kwamba...
Mimi kijana miaka 32 elimu yangu ni masters level.Natafuta binti wa kuoa kuanzia miaka 22-26.
Awe muislam mwenye kujitambua kuanzia mavazi nk.Awe na elimu yake awe na shahada ya ualimu, nursing...
Habari wadau,
Hivi mwanamme kuwa na kuwa na uwezo wa physical fitness, pia uwezo wake katika mapenzi ni mkubwa?
Maana ninavyojua mimi, ukiwa vizuri kimazoezi, yaani physical fitness, almost kila...
Salam wana JF,
Je unajisikiaje kama kwenu mumeshaolewa na mnazaa ndipo na mama yako anaanza kuzaa pamoja na wewe(nyie)?Yaani mimi nina mtoto mchanga na ndugu yangu anaefatia anamimba sasa na mama...
Dunia tambara bovu jamani kuna binti amemaliza form 4 nimekutana nae kwenye mtandao ya kijamii tukawa friends nilipoenda mkoa tukaonana kiukweli ni binti mdogo ni mfupi ana kaumbo kadogo hadi...
salaaam!
ni ivi,jumapili nilikuwa natoka safari toka shinyanga to Iringa,nikiwa stend kuu ya shinyanga,akatokea kijana fulan alijitambulisha kwa jina na nikaweza tambua kuwa ni mkaguru.
Baada ya...
Habari za asubuhi wana jamii,
Natumai muwazima rejea kichwa cha habari hapo juu,
Mimi ni kijana wa wa miaka 21 hadi sasa nimemaliza mtihan kidato cha sita hivyo niko huru nyumbani hivyo...
Habarini wana MUM
Binafsi huwa nashindwa kuelewa sana maana ya hilo neno KUHONGO kama linavyo tumiwa sana na vijana wa kizazi hiki!
Ni neno ambalo limejipatia sana umarufu hasa katika mapenzi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.