Je, Unajisikiaje kuzaa pamoja na mama yako?

zen

Senior Member
Feb 6, 2016
106
94
Salam wana JF,

Je unajisikiaje kama kwenu mumeshaolewa na mnazaa ndipo na mama yako anaanza kuzaa pamoja na wewe(nyie)?Yaani mimi nina mtoto mchanga na ndugu yangu anaefatia anamimba sasa na mama anamimba piakwakweli si jambo baya lakini nahisi haielekei
 
Kwa maisha ya sasa hv huku ni kuleteana lawama kwa baadae unless wazazi wako fit kifedha otherwise jiandaeni kusomesha wadogo zenu
 
Mbona Janet Jackson ana 50yrs anategemea kupata first born wake unataka kusema angezaa katika miaka ya 80s huko leo si angekuwa anazaa na bintiye au mkwe wake pamoja. Haileti maana mbaya ila sisi ndio tunaelewa vibaya.
 
Kwa upande wa makabila mengine ni mbaya,lakini mie sioni tatizo as long as wana uwezo na afya wazae tuu mpaka waone aibu wenyewe waseme basi.......
 
Njoo huku kwetu uswazi utajionea mama anatemea mate huko binti nae huko na vita ya kugombea vipande vya ndimu.. wala haiwapi tabu.
hahaha mie niliwahi kupeleka Sis wangu hospital nikaona Mama na mwanawe wote wana mimba nilishangaa sana,niliporejea home nikamwambia Mama nimekuta Mama na mwanawe wamekuja clinic, sasa ingekua FUN mie na wewe tungeeda pia kama wale duu kanambia ushindwe mtoto natakia nini kufa,nileteeni wajukuu zangu nilee nile raha zangu nisubiri siku yanguya Kufa mie...
 
hahaha mie niliwahi kupeleka Sis wangu hospital nikaona Mama na mwanawe wote wana mimba nilishangaa sana,niliporejea home nikamwambia Mama nimekuta Mama na mwanawe wamekuja clinic, sasa ingekua FUN mie na wewe tungeeda pia kama wale duu kanambia ushindwe mtoto natakia nini kufa,nileteeni wajukuu zangu nilee nile raha zangu nisubiri siku yanguya Kufa mie...

kumbe hilo jambo linaleta ukakasi eeh.,
 
Kwa wengine hua sawa ila kwa mzazi wangu hakupenda,ila hata mimi ningependa nimalize mapema ili kama uhai ntakua nao nilee wajukuu zangu....

huko sahihi kabisa mimi binafsi sipendezwi nalo kwanza ni aibu sana kwa jamii yetu pia haya mambo miaka ya zamani yalikuwa nadra sana nakumbuka tu nilishuhudia mama karudi na mtoto thn nikaambiwa amemnunua ilikuwa raha sana wazazi wanazaa kwanza tena mkipishanishwa miaka miwili au mitatu na kuna kuwa na kikomo chake baada ya hapo mnakuzwa tu.,
 
huko sahihi kabisa mimi binafsi sipendezwi nalo kwanza ni aibu sana kwa jamii yetu pia haya mambo miaka ya zamani yalikuwa nadra sana nakumbuka tu nilishuhudia mama karudi na mtoto thn nikaambiwa amemnunua ilikuwa raha sana wazazi wanazaa kwanza tena mkipishanishwa miaka miwili au mitatu na kuna kuwa na kikomo chake baada ya hapo mnakuzwa tu.,

Nikweli ndugu ni aibu flani unahisi japo si jambo baya wala si dhambi lakini tunaanza kumchukulia mama kama sis na si mama kwa vile na yeye hupendana kujipamba na kuvaa sare na sisi na same makeup na kuzaa sasa tunazaa pamoja yaani hata tunasahau kama ni mama yetu tunahisi ni sisters.
 
Back
Top Bottom