Kama huamini basi kaa kimya,ila huu ni ukweli ulio wazi kabisa.
Unakuta msichana alikuwa ni rafiki yako mkubwa ambaye mnaishi kama kaka na dada na mnasaidiana kwenye shida na raha.Ila akishaolewa...
Wakuu habari zenu,
Mimi ni kijana wa kiume, kuna tatizo huwa silielewi. Kila nikiwa kwenye matembezi yangu nikikutana na mdada au wanadada wamevaa vizuri wakapendeza nashindwa kuwasalimia au...
Ndugu habarini
Naomba mniambie hivi mtu akiamua kukuacha kisa hamshabiiani utafanya nini? Utalia Au utamshukuru Mungu na kumuomba akusaidie uondokane na udhaifu wako akupe mtu sahihi...
Habari yenu Wakuu,
Hivi inakuaje baadhi yawanawake/wasichana wa siku hizi walio wengi hawaridhiki na kile walicho nacho? Yaani wa kuwa macho mia mia?
Nini kina wafanya waone mwanamume mwingine...
Habari zenu JF
Nilikuwa na mpenzi wangu tulipendana sana. Na yeye ndo alionesha kunipenda zaidi.. Alikuwa mckivu sana na mvumilivu pia..Ilifikia wakati hawezi hata kumckiliza hata mama yake ikiwa...
Za ukosefu wa sukari wakuu!!
Binafsi napenda jina langu na najivunia kuwa nalo,vipi wengine kuna raha yoyote ya kujivunia jina?
Kama ipo kwanini watoto wanaendelea kupewa majina ya hovyo hovyo...
Ilikua ni sauti ya rafiki yangu iliyonistua sana baada ya kuambiwa maneno ya kukatisha uhusiano wake na mpenzi wake ambaye walitegemea kuoana mwakani.Kila mwanaume amekuwa akimtenda vibaya na...
Usiolewe sababu rafiki zako wote wameolewa.
Usiolewe sababu class mates zako wote wameolewa na wanawatoto.
Usiolewe sababu umemaliza chuo, unaishi mwenyewe na unakazi nzuri.
Usiolewe sababu kila...
It may be true that the law cannot make a man love me, but it can stop him from lynching me, and I think that's pretty important. - Martin Luther King Jr.
Habarini za muda huu,kwa waliofunga pole kwa waliofunga kwa saumu.
Nije kwenye mada,najiuliza sana kwanini wanandoa hawana mahusiano ya family groups za wenza wao?
Mfano: Mwanamke akiolewa moja...
IGWEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEEE!!!!!!!!!
Times are changing and changes are inevitable inevitable. When the benefit of change exceeds the cost of change, then changes ceases to be optional and...
Habarini zenu nyie watu,
Katika hangaika zangu za wanawake,na katika tabia zangu za chapa ilale na tabia ya kizee ya kutochagua kofia,tabia yangu ya kuishi kama jogoo la kienyeji ya kupanda jike...
Haya ni maajabu ya karne kabisa,na hii sijui niite ni ushamba au ndio mambo ya .com.juzi jmapil nmekutana na kademu kwenye gari pale sayansi,,nilimtamani nikaongea nae,usku akaingia laini.jana...
Hao wanaoitwa Wasichana wabaya wanaolewa kila jumamosi, nyie Wasichana wazuri mko bize kununua mablackbery, ma iPhone 5,ma Ipads , mawigi ya brazili na honestly huwa mnapendeza sana kwenye picha...
Kila nikigombana naye lazima usiku nipate shida aidha nakimbizwa au watu wamenikamata wanataka wanifanyie kitu mbaya.
Kingine ambacho kina utata mfano nikitaka kumgegeda dhakari yangu nikitaka...
Sikuwahi kufikiria kama ingefika kipindi niitwe Zoba!!
Zoba ni mwanaume wa aina gani!!
1.Hatongozi.
2. Haongi.
3. Kila mwanamke anamwona kama Dada yake....
Ndiyo situation ninayokutana nayo...
Nahitaji urafiki na binti au mwanamke wa kizungu ila huwa nashindwa kuwapata kutokana na mazingira nilonayo na sina connection yoyote. Hivyo naomba mwenye uwezo anisaidie, sio kwa nia mbaya au...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.