mshai
Senior Member
- Sep 10, 2014
- 104
- 38
Habari zenu JF
Nilikuwa na mpenzi wangu tulipendana sana. Na yeye ndo alionesha kunipenda zaidi.. Alikuwa mckivu sana na mvumilivu pia..Ilifikia wakati hawezi hata kumckiliza hata mama yake ikiwa ni kwa ajili ya kutetea penzi letu.Sio siri mimi nilijivuna kwa kupendwa kiasi kile.
Nilianza kuhisi kuwa Hawezi kuniacha kwa lolote lile.. Hata nikimuudhi kiasi gani nilijua atanisamehe tu.. Kwa mapenzi yale...Sasa nikaanza kuwa huru kupitiliza.. Nikawa si hofii tena kwa na mchepuko. Nilianzisha mahusiano na msichana wengine akiwa anajua nina mpenzi kabla yake.
Mwanzoni tuli-date kwa siri ila baadae mchepuko alianza kuona kuwa yeye Ndio anayenistahili mimi zaidi.. Basi alianza kufanya harakati za kuvunja mahusiano aliyoyakuta.. Alimtumia picha nilizopiganae.. Na hata videos tulizojirecord na txt za hapa na pale hadi alifanikiwa kupoteza mapenzi ya yule mpenzi wangu..aliniacha akaenda zake
Sasa huku nyuma nikabaki na huyu pasua kichwa.. Nilijionea tabia chafu zote niliwahi kuzickia na ambazo ckuwahi kuzickia. Mbaya zaidi tulipima afya ila bahati mbaya alikuwa ameathirika.. Na bahat nzuri kwangu ni kwamba ckuwa nimeambukizwa. Niliamua kumuacha na kurudi kuomba msamaha kwa kipenzi changu cha zamani.
Ila kwa bahati mbaya ameshachumbiwa tayari na utambulisho pia. Ila bado anasema ananipenda sana. Yupo tayari hata kuvunja uchumba na kurudi kwangu tena maana asema mimi ndio ndoto yake
Nipo njia panda ndugu zangu. Nashindwa kukubaliana na maoni yake ila moyo wangu bado unampenda sana pamoja na wivu mwingi
Nilikuwa na mpenzi wangu tulipendana sana. Na yeye ndo alionesha kunipenda zaidi.. Alikuwa mckivu sana na mvumilivu pia..Ilifikia wakati hawezi hata kumckiliza hata mama yake ikiwa ni kwa ajili ya kutetea penzi letu.Sio siri mimi nilijivuna kwa kupendwa kiasi kile.
Nilianza kuhisi kuwa Hawezi kuniacha kwa lolote lile.. Hata nikimuudhi kiasi gani nilijua atanisamehe tu.. Kwa mapenzi yale...Sasa nikaanza kuwa huru kupitiliza.. Nikawa si hofii tena kwa na mchepuko. Nilianzisha mahusiano na msichana wengine akiwa anajua nina mpenzi kabla yake.
Mwanzoni tuli-date kwa siri ila baadae mchepuko alianza kuona kuwa yeye Ndio anayenistahili mimi zaidi.. Basi alianza kufanya harakati za kuvunja mahusiano aliyoyakuta.. Alimtumia picha nilizopiganae.. Na hata videos tulizojirecord na txt za hapa na pale hadi alifanikiwa kupoteza mapenzi ya yule mpenzi wangu..aliniacha akaenda zake
Sasa huku nyuma nikabaki na huyu pasua kichwa.. Nilijionea tabia chafu zote niliwahi kuzickia na ambazo ckuwahi kuzickia. Mbaya zaidi tulipima afya ila bahati mbaya alikuwa ameathirika.. Na bahat nzuri kwangu ni kwamba ckuwa nimeambukizwa. Niliamua kumuacha na kurudi kuomba msamaha kwa kipenzi changu cha zamani.
Ila kwa bahati mbaya ameshachumbiwa tayari na utambulisho pia. Ila bado anasema ananipenda sana. Yupo tayari hata kuvunja uchumba na kurudi kwangu tena maana asema mimi ndio ndoto yake
Nipo njia panda ndugu zangu. Nashindwa kukubaliana na maoni yake ila moyo wangu bado unampenda sana pamoja na wivu mwingi