Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Huyu msichana tangu tujuane na kuwa wapenzi mpaka sasa ni takriban mwezi wa nne hivi. Ni binti aliyehitimu kidato cha sita mwaka jana na kutokana na upole wake na ukarimu kwa kweli nimempenda na...
0 Reactions
447 Replies
35K Views
Utamaduni wa wenzetu walioendelea huwa mtu akitoka out na mpenziwe mwanamke ndiye anaclear bill lakini kwa nchi zetu za kibongo ukimtoa mwanamke out atafanya kukukomoa aagize vitu vya gharama...
8 Reactions
170 Replies
17K Views
Wote tunajua kazi ya moyo ni kusukuma damu lakini pengine moyo huwa na kazi nyingine nyingi za ziada zaidi ya hiyo kuna watu wanatembea lakini mioyoni mwao wamebeba maumivu, karaha na manyanyaso...
2 Reactions
21 Replies
9K Views
Binafsi hupenda kusoma makala na vijarida mbalimbali kuhusu maisha, katika pitapita zangu nikakutana na makala moja ikieleza kuwa baadhi ya wanawake wembamba huwa hawapi hedhi.Naomba kujua na...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Ni jioni ya leo madam mrembo wangu kipenzi kanipigia simu anasema mpenzi nimeshinda njaa leo na hadi sasa sina hela ya kula kwahiyo nalala njaa tena, naomba hela ya kula. Mwanaume nlikuwa na...
2 Reactions
41 Replies
4K Views
Habari yenu wakuu, Huu ujumbe sikulengi wewe bali lafiki yako wa kike mwenye hizi tabia, umfikishie umwambie kama ni kweli ajirekebishe. Leo nmeamua Kuwafungukia hawa dada zetu japo kidogo tu...
5 Reactions
57 Replies
6K Views
Nimekuwa na uzoefu wa kuona kampuni mbali mbali zikiajiri mabinti wenye mvuto kwa ajili ya mapokezi, vitengo vya mauzo, mahotelini na hata kampuni za usafiri kama ndege na boti na maeneo mengi ya...
1 Reactions
27 Replies
9K Views
Nikasimama kwenye kichuguu nikanyanyua shingoo,ooh nikaona njia kwa mbali bondenii,kazi ni kuifikia njia hiyooo.i have a dream that at the banks of Rufij near Stiglers gorge, light for...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Najua ulijaribu kujifunza lugha mbali mbali lakini hauwezi kulinganisha na lugha ya wanawake hata siku moja , utakubaliana na mimi kwamba maneno mengi watakayo kuambia wanawake katika lugha yao ni...
11 Reactions
80 Replies
8K Views
Happy 26th Anniversary to me and my lovely wife Theodora. I pronounce goodness and mercies shall follow us all the days of our lives and the Lord shall be our provider, we shall not want. We are...
19 Reactions
55 Replies
5K Views
Naomba kuuliza hivi ndoa ya kuishi kidemokrasia au kuishi kidikteta ipi inadumu?Au ipi inanoga. Tujuzane wakuu
1 Reactions
35 Replies
3K Views
Wadau habari ya asubuhi, natumai kumekucha salama huko kwenu. Kuna kijitabia kibaya sana kimeibuka na watu wamekifumbia macho sjui wadau mnalionaje hili: 1. Mtu kuwa na uhusiano wa kimapenzi na...
1 Reactions
25 Replies
3K Views
Nianze kwa kuwapa pole na mihangaiko ya siku nzima.. Wana JF kuna jambo hua nakosaga jibu kabisa pengine mtaweza kunisaidia.. Kwanini unakuta mwanamke anafanya kazi yake nzuri tu na ana kipato...
0 Reactions
41 Replies
4K Views
Mtarajiwa anatoa majibu ambayo yananiweka njia panda. Yaani naweza kusikia skendo mbaya kuhusu yeye nikimuuliza ananijibu "Hakuna kitu". Kwa wazoefu, jibu hili lina maana gani? Kwanini asijibu...
0 Reactions
27 Replies
3K Views
Habari zenu marafiki zangu. Hivi mtu unamuachaje mpenzi wako muda wa kazi, kabisa unajitutumua unamwandikia mpenzio message ya kusitisha mchana.Au mwingine muda mwingine wa kutoka kazini unajua...
25 Reactions
245 Replies
25K Views
Members ya JF Nawasalim. Mimi ni kijana. Umri wangu haujavuka miaka 30. Naomba Ushauri wenu katika hili.... Kwa kipindi kirefu nimekuwa kwenye jitihada binafsi za kubadilisha sehemu kubwa ya...
10 Reactions
76 Replies
8K Views
Habari wanaJamiiForums, Natumai Jumapili yenu iko vyema. Hebu wanaume tuulizane kwa maisha tunayoishi na hawa wanawake hawa wa kisasa sasa hivi bila mfumo dume mambo yangeenda kweli?
3 Reactions
64 Replies
5K Views
Back
Top Bottom