Wanawake"ugly face" hujituma sana kitandani,kwa nini?

Wanawake"ugly face" hujituma sana kitandani,kwa nini?

juvenile davis

JF-Expert Member
Joined
Apr 13, 2015
Posts
4,752
Reaction score
4,480
Habarini zenu nyie watu,

Katika hangaika zangu za wanawake,na katika tabia zangu za chapa ilale na tabia ya kizee ya kutochagua kofia,tabia yangu ya kuishi kama jogoo la kienyeji ya kupanda jike lolote hata kama akiwa shemeji,nimejikuta nimebabua watoto kibao,wazuri,na wale ambao sio wazuri yaani "ugly face".

Ila nimegundua kwamba wanawake wazuri asilimia 99% hawajui mapenzi kabisa,ila tu tunawapenda kwa sababu ya mvuto ukiwa nae,ila kunako 6\5 hawajui kitu.ila ukikutana na wale wabaya wa sura hadi maumbo bhanaaaa,heeee utakimbia,yaani wanajua kumlidhisha mwanaume vibaya sana,ndio maaana unashangaa jamaa ni mkali ila anadate na demu ambae hata hawaendani,kama wewe unaungana na mimi unahisi ni sabab zipi zinazopelekea hayo yote??

NB:najisifia kitu nnachojua na nilichoweza kufanya,iwe ni kibaya au kizuri mi najisifia tu na usiongelee mambo ya pesa hapa.
 
mimi nafikiri wanacompensate ubaya wao ili udate na mavitu yao ya kitandani na wale wazuri wanajidaia uzuri wao
 
Mkuu Hiyo takwimu ya sura nzuri Na sio sura nzuri.Haina ukweli kabisa.
Unaye muona Bomba mie naona wapi.Ndio maana wasichana wengi wanafundishwa unyago,maadili Na usafi wa mwili.
Kwa hiyo asilimia kubwa walio fundishwa wanafanya vizuri Na hawaachiki. Utasikia sio bure Limbwata Hilo.
Mafunzo yanalipa.
 
Habarini zenu nyie watu?katika hangaika zangu za wanawake,na katika tabia zangu za chapa ilale na tabia ya kizee ya kutochagua kofia,tabia yangu ya kuishi kama jogoo la kienyeji ya kupanda jike lolote hata kama akiwa shemeji,nimejikuta nimebabua watoto kibao,wazuri,na wale ambao sio wazuri yaani "ugly face" ,ila nimegundua kwamba wanawake wazuri asilimia 99% hawajui mapenzi kabisa,ila tu tunawapenda kwa sababu ya mvuto ukiwa nae,ila kunako 6\5 hawajui kitu.ila ukikutana na wale wabaya wa sura hadi maumbo bhanaaaa,heeee utakimbia,yaani wanajua kumlidhisha mwanaume vibaya sana,ndio maaana unashangaa jamaa ni mkali ila anadate na demu ambae hata hawaendani,kama wewe unaungana na mimi unahisi ni sabab zipi zinazopelekea hayo yote??
NB:najisifia kitu nnachojua na nilichoweza kufanya,iwe ni kibaya au kizuri mi najisifia tu.na usiongelee mambo ya pesa hapa.
mmh inaonekana umepitia wengi sana maana kila siku unakuja na sample mpya.
 
Habarini zenu nyie watu?katika hangaika zangu za wanawake,na katika tabia zangu za chapa ilale na tabia ya kizee ya kutochagua kofia,tabia yangu ya kuishi kama jogoo la kienyeji ya kupanda jike lolote hata kama akiwa shemeji,nimejikuta nimebabua watoto kibao,wazuri,na wale ambao sio wazuri yaani "ugly face" ,ila nimegundua kwamba wanawake wazuri asilimia 99% hawajui mapenzi kabisa,ila tu tunawapenda kwa sababu ya mvuto ukiwa nae,ila kunako 6\5 hawajui kitu.ila ukikutana na wale wabaya wa sura hadi maumbo bhanaaaa,heeee utakimbia,yaani wanajua kumlidhisha mwanaume vibaya sana,ndio maaana unashangaa jamaa ni mkali ila anadate na demu ambae hata hawaendani,kama wewe unaungana na mimi unahisi ni sabab zipi zinazopelekea hayo yote??
NB:najisifia kitu nnachojua na nilichoweza kufanya,iwe ni kibaya au kizuri mi najisifia tu.na usiongelee mambo ya pesa hapa.
mkuu ungesema ukweli tu kuwa "ugly face" ni rahisi kuwapata kutokana na demand and supply theory
🙂🙂🙂
 
Back
Top Bottom