Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.5K
Posts
209.6K
Threads
7.5K
Posts
209.6K

JF Prefixes:

Mambo wakuu Leo nmekuja kiutu uzima coz wanasema mie cjui utoto vikapanda vikashuka Ni hivi?kuna baba mmoja huu ni kama mwezi wa nne sasa kiukweli anaonesha ananijali sana,na kwa vitendo na...
1 Reactions
110 Replies
7K Views
Wakuu heshima yenu Hii kitu imenitokea sana mara nyingi, Napenda kudate na wanaume maarufu tu na pindi nikiwa katika mahusiano na mwanaume maarufu najisikia nipo salama sana hata kama hanisaidii...
0 Reactions
102 Replies
8K Views
Chukulia ww ni kijana wa kiume ulikua na gf kama 4 hivi ila 1 hua anakutafuta mnapiga story na kujuliana hali hii inamaanisha nn alikupenda kweli au kawaida 2 na ameishaolewa na ww umeoa na ww hua...
0 Reactions
8 Replies
847 Views
Salaam, wana JF, miezi kama miwili hivi nilipost MMU tatizo la kukimbiwa na wapenzi kipindi cha kutambuana (dating) ilhali nikiwa sijaonja au kuonjeshwa penzi; baada ya kujipambanua kuwa sijawahi...
11 Reactions
163 Replies
10K Views
Ndugu zangu kisa hiki ni cha kweli: Jumapili ya juzi katika kanisa moja jijini Dar kuna jamaa aliokoka, na akiwa katika madhabahu alisema amefanya mengi yasiyo mpendeza Mungu hapa dunia, hivyo...
0 Reactions
26 Replies
5K Views
Hii ndiyo tofauti ya mvulana na msichana kwenye mahusiano ya kimapenzi Kila kunakokucha watu wanalalama kuwa siku hizi mapenzi hayan maana but ni kwa sababu wameshau kuwa kati ya mwanaume (...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
HIZI NI TABIA ZA MSICHANA AMBAYE AMEANZA KUCHEPUSHWA 1 Amepunguza mawasiliano Hi ndiyo njia pekee ya kuweka uhusiano wenu karibu kana alivyokuwa akifanya mwanzo wa mapenzi yenu lakini sasa...
1 Reactions
26 Replies
5K Views
  • Redirect
Tumekuwa tukitofautiana sana na mpenzi wangu lakini baada ya kukaa kimya kwa muda nikitafakari niamue nn cha kufanya juu ya maisha yangu niliwaza kabla sita make decision embu nijaribu kuwa...
0 Reactions
Replies
Views
Wanawake wanakosa uvumilivu kwenye ndoa, wanatamaa, wanataka mapenzi ya kifilipino wakati wakijua wapo Afrika, wajuaji, wanajali pesa kuliko mapenzi. sasa sijui mama zetu wangekuwa kama hawa...
0 Reactions
25 Replies
4K Views
Wakuu huyu msichana King'ang'anizi sijawahi ona ...namwambia sina Malengo nae na wala simtaki, lakini ananisumbua mwezi wa nne huu, sina ujanja maana kuna siku alitaka kujichoma kisu 'eti kisa...
1 Reactions
67 Replies
5K Views
Kuna ujinga ambao nimeuona ukiandelea hapa JF hasa MMU kwa miaka kadhaa kwamba mwanamke anatoka nje ya mahusiano au ndoa kwa sababu ya kutokufikishwa kileleni. Ni ujinga wa hali ya juu, najua...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Salaam wanaJF Kwanza polen na mihangaiko ya dunia.. Kilichonileta humu leo ni majanga niliyoyapata japo nimejitakia mwenyewe..maana nimewaaazaaa weeee mwenyewe jibu sijapata hivyo naomben...
7 Reactions
247 Replies
15K Views
Jambo Nyoote? Wakuu mwenzenu sasa nakata rufaa, huyu shemeji yenu hanifai tena. Mim ni muhangaikaji bana kitaa. Sasa katika pita pita nikamdodondokea mdada flan akaa shemeji yenu. Swaga nyingi...
2 Reactions
68 Replies
9K Views
Muvi imeisha ilikua ni usiku tayari, binti akaniambia, "Ben I can spend overnight at ya place" He.!..nikasema hapa sasa nikimruhusu tu ntaaribu kila kitu. Maana nikifikiria fujo za mama mwenye...
7 Reactions
104 Replies
7K Views
Vijana wengi wamekuwa wakilalamika hapa kuwa wanawake wanawapiga mizinga sana huku wakisahau kuwa chanzo cha kupigwa mizinga ni wao wenyewe hasa nyakati za utongozaji maana siku hizi vijana...
2 Reactions
13 Replies
1K Views
Kwa mila zetu waafrika mtu mwenye ndoa anaheshimika sana sasa sijui ni shetani kawapitia vijana wenye elimu na wale wenye uwezo wa kifedha wasioe na kuolewa. Fedha na magari ni vitu vya kupita tu...
0 Reactions
11 Replies
1K Views
Utakuta mwanamke ana mume wake wa ndoa lakini bado ana mtu wa pembeni eti kisa mumewe ana kibamia na yeye anatafuta dushelele,shoga ingekuwa dushelele ndo mapenzi basi hawa wenye vibamia...
1 Reactions
55 Replies
4K Views
Imekuwa ni kawaida watu kutamaani kuishi maisha ya kwenye movie unakutana na msichana ili umtongoze sharti umuite mahali tulivu apate kinywaji pengine chakula ndio uanze kurusha verse ukiwa hujui...
1 Reactions
42 Replies
4K Views
Hivi ma players humu ndani..how much do you normally spend on a first date?
0 Reactions
40 Replies
5K Views
Back
Top Bottom