Mambo wakuu
Leo nmekuja kiutu uzima coz wanasema mie cjui utoto vikapanda vikashuka
Ni hivi?kuna baba mmoja huu ni kama mwezi wa nne sasa kiukweli anaonesha ananijali sana,na kwa vitendo na...
Wakuu heshima yenu
Hii kitu imenitokea sana mara nyingi,
Napenda kudate na wanaume maarufu tu na pindi nikiwa katika mahusiano na mwanaume maarufu najisikia nipo salama sana hata kama hanisaidii...
Chukulia ww ni kijana wa kiume ulikua na gf kama 4 hivi ila 1 hua anakutafuta mnapiga story na kujuliana hali hii inamaanisha nn alikupenda kweli au kawaida 2 na ameishaolewa na ww umeoa na ww hua...
Salaam,
wana JF, miezi kama miwili hivi nilipost MMU tatizo la kukimbiwa na wapenzi kipindi cha kutambuana (dating) ilhali nikiwa sijaonja au kuonjeshwa penzi; baada ya kujipambanua kuwa sijawahi...
Ndugu zangu kisa hiki ni cha kweli:
Jumapili ya juzi katika kanisa moja jijini Dar kuna jamaa aliokoka, na akiwa katika madhabahu alisema amefanya mengi yasiyo mpendeza Mungu hapa dunia, hivyo...
Hii ndiyo tofauti ya mvulana na
msichana kwenye mahusiano ya
kimapenzi
Kila kunakokucha watu wanalalama kuwa
siku hizi mapenzi hayan maana but ni kwa
sababu wameshau kuwa kati ya mwanaume
(...
HIZI NI TABIA ZA MSICHANA AMBAYE AMEANZA KUCHEPUSHWA
1 Amepunguza mawasiliano
Hi ndiyo njia pekee ya kuweka uhusiano wenu karibu kana alivyokuwa akifanya mwanzo wa mapenzi yenu lakini sasa...
Tumekuwa tukitofautiana sana na mpenzi wangu lakini baada ya kukaa kimya kwa muda nikitafakari niamue nn cha kufanya juu ya maisha yangu niliwaza kabla sita make decision embu nijaribu kuwa...
Wanawake wanakosa uvumilivu kwenye ndoa, wanatamaa, wanataka mapenzi ya kifilipino wakati wakijua wapo Afrika, wajuaji, wanajali pesa kuliko mapenzi.
sasa sijui mama zetu wangekuwa kama hawa...
Wakuu huyu msichana King'ang'anizi sijawahi ona ...namwambia sina Malengo nae na wala simtaki,
lakini ananisumbua mwezi wa nne huu, sina ujanja maana kuna siku alitaka kujichoma kisu 'eti kisa...
Kuna ujinga ambao nimeuona ukiandelea hapa JF hasa MMU kwa miaka kadhaa kwamba mwanamke anatoka nje ya mahusiano au ndoa kwa sababu ya kutokufikishwa kileleni. Ni ujinga wa hali ya juu, najua...
Salaam wanaJF
Kwanza polen na mihangaiko ya dunia..
Kilichonileta humu leo ni majanga niliyoyapata japo nimejitakia mwenyewe..maana nimewaaazaaa weeee mwenyewe jibu sijapata hivyo naomben...
Muvi imeisha ilikua ni usiku tayari, binti akaniambia, "Ben I can spend overnight at ya place" He.!..nikasema hapa sasa nikimruhusu tu ntaaribu kila kitu.
Maana nikifikiria fujo za mama mwenye...
Vijana wengi wamekuwa wakilalamika hapa kuwa wanawake wanawapiga mizinga sana huku wakisahau kuwa chanzo cha kupigwa mizinga ni wao wenyewe hasa nyakati za utongozaji maana siku hizi vijana...
Kwa mila zetu waafrika mtu mwenye ndoa anaheshimika sana sasa sijui ni shetani kawapitia vijana wenye elimu na wale wenye uwezo wa kifedha wasioe na kuolewa.
Fedha na magari ni vitu vya kupita tu...
Utakuta mwanamke ana mume wake wa ndoa lakini bado ana mtu wa pembeni eti kisa mumewe ana kibamia na yeye anatafuta dushelele,shoga ingekuwa dushelele ndo mapenzi basi hawa wenye vibamia...
Imekuwa ni kawaida watu kutamaani kuishi maisha ya kwenye movie unakutana na msichana ili umtongoze sharti umuite mahali tulivu apate kinywaji pengine chakula ndio uanze kurusha verse ukiwa hujui...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.