Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

Love Connect

Unatafuta mchumba? Mpenzi? Hili ndilo jukwaa sahihi. Litumike vema vinginevyo hoja zitafutwa!
Threads
7.5K
Posts
209.5K
Threads
7.5K
Posts
209.5K

JF Prefixes:

Takwimu zinaonyesha wanawake wapo wengi na wanaume tuko wachache duniani kote. Hivyo mwanamke ukiolewa tulia ukifumwa unazini utakuwa wa ajabu na ni vigumu sana kusamehewa.
1 Reactions
34 Replies
4K Views
.Habari wana MMU,. Hatimaye nimeamini maneno ya wahenga kwamba ''mwanamke siyo ndugu yako'' Ndiyo maana haumii pale unapopatwa na maswahibu na mara nyingine anakuumiza katika mahusiano bila...
2 Reactions
33 Replies
3K Views
Habari wana MMU! Swali hili ni kwa yeyote tu.katika harakati za kutafuta mahusiano ya kimapenzi,uchumba,au ndoa,utaona wanaume na wanawake wanakutana katika meneo tofautitofauti. kati yao...
1 Reactions
65 Replies
5K Views
Habari za siku ya leo wanajamvi? Leo nimekuja na hii mada from my own experience. Siku moja nikiwa kwenye gari (daladala) natoka mihangaikoni nikakutana na mrembo mmoja. Story za hapa na pale...
1 Reactions
28 Replies
3K Views
Wanaume wengi tunawazalisha akina dada bila kuwaoa na mwisho tunawatosa,ni kama tunawafanyia majaribio kama tupo sawa. Hawa wadada waliozalishwa wanapotaka kuolewa inakuwa shida mno hujikuta...
2 Reactions
18 Replies
2K Views
Uzoefu unaonyesha kuwa endapo patatokea tukio la mtu kuwa na uhusiano wa mapenzi na dada yake wa kuzaliwa na mama mmoja na baba mmoja basi ukifanya uchunguzi utakujagundua kuwa hao watoto baba zao...
0 Reactions
48 Replies
4K Views
Habari za mchana wana JF, Naamin mnaendelea vyema na majukum yenu, Mwenzenu, wiki iliyopita nilifikisha miaka 7 ya ndoa, ni jambo la kumshukuru sana mungu kwani siku zote nimekua na amani na...
1 Reactions
361 Replies
30K Views
Ndugu wapendwa waJF. Nilikuwa na msichana niliyeanzisha uhusiano naye tangu 2009-2013. Kwa mda wote huo alininyima uroda akidai hadi tufunge ndoa mwaka 2015 kwa kuwa bado anajipanga kimaisha ,na...
2 Reactions
87 Replies
8K Views
Habari zenu. Kwanza kabisa ningependa kusema mimi sina mtoto ila napenda sana watoto. Hapa nawalenga wale wenye watoto wa umri wa kwenda shule kuanzia chekechea hadi kidato cha sita. Kwa muda...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Kwa mujibu wa takwimu zisizo rasmi zinaonyesha kwamba idadi ya wanawake wasiyoikubali miili yao hapa nchini ni kati ya 25 hadi 35, kwa maana kwamba ni wanawake 25 hadi 35 katika kila wanawake 100...
3 Reactions
32 Replies
7K Views
Nilimuwekea utaratibu mpenzi wangu wa kuchukua mahitaji yake katika maduka ya rafiki zangu kadri anavyohitaji halafu nikipata pesa naenda kulipa, Akijisikia vipodozi ataenda kwa Roja na...
0 Reactions
37 Replies
3K Views
Hivi umewahi kujiuliza , ni jambo gani ulilomfanyia mpenzi wako nae angalau akajihisi anathaminiwa? Hata sex kujiongeza huwezi , ni kama nguo inayosubiri kupasiwa vile...eti...
2 Reactions
130 Replies
11K Views
Wana Jf, Katika hali isiyo ya kawaida, huyu bwana anasimlia tena kwa kumaanisha kuwa alicho kifanya ni sahihi. Anasema akiwaa katika majukumu yake ya kazi maeneo ya Dodoma likutana na binti...
4 Reactions
110 Replies
21K Views
Wadau mmeiona hii habari? Halafu atokee mwanamke humu adai kwamba huyo mama kajitakia mwenyewe. Walahi ntakutukana matusi ambayo hujawahi yasikia maishani mwako. But on a serious note, kweli kuna...
1 Reactions
24 Replies
2K Views
Najua ndoa nane za JF ambazo hadi kufikia sasa zote zimekufa. Nilishahudhuria arusi za ndoa 2 kwa sababu wahusika walikuwa kwenye circle ya marafiki zangu, sita zilifungwa kibubububu na pia...
7 Reactions
215 Replies
10K Views
Baada ya kupata ushauri, mawazo, kejeli na kila kitu.... nimeandaa algorthim as follow.... {pass parameter} mke wa mtu; if ukigonga mke wa mtu, then umejitoa mhanga; (otherwise ur a hero)...
3 Reactions
17 Replies
2K Views
Mupoooooo wajameni basi sawa! Kuna mama mmoja kaiacha hoi anasema eti vijana wa siku izi kazi wawaiwezi wawapo 6*6 kwani unaweza ukawa na kijana ukijua atakufikisha kunako kumbe akupaka shombo tu...
1 Reactions
67 Replies
5K Views
Shemej yangu (mke wa kaka yangu),anatoka na mwanaume mwingine kipind hiki ambacho amesafiri kikaz nami nimegundua ila sijui nifanyeje mpaka sasa ila roho inaniuma sana naombeni ushauri wenu wana...
0 Reactions
33 Replies
3K Views
Leo ni siku kubwa ya kusherehekea ma baba wote .hongera zenu .Nina Imani wake zenu na baby mama wamewanunulia zawadi nzuri na chakula kizuri kushukuru .Happy fathers day to everybody ( fathers )
4 Reactions
19 Replies
2K Views
Habari zenu wana jf, Ni rafiki yangu wa kike yupo likizo taishi nae hadi likizo yake itakapoisha. Jamani mimi ninavyojua kwa taratibu zetu za Kiafrika mgeni anapokwenda sehem kuishi huwa...
0 Reactions
37 Replies
3K Views
Back
Top Bottom