Utafiti uliofanyika huko nchini Marekani na Uingereza umegundua kua ukosefu wa wanaume wanaovutia kiuchumi ndio sababu kubwa inayopelekea kushuka kwa idadi ya watu wanaofunda ndoa kila mwaka...
Ni matumaini yangu mmeamka salama kama Mimi. Mlioamka vibaya, Mungu awasimamie siku yenu iwe nzuri.Bila kupoteza wakati naanza kutiririka yaliyomo moyoni mwangu.
Siku chache zilizopita nilileta...
Women are complex creatures, a bundle of emotions and more often than not let their heart make decisions for them. More than all this, what they are is an enigma. No one can profess to have an...
Wakuu kuna dada nilikua natoka nae sasa leo kaniambia eti anaomba tubaki marafiki tu! wa kawaida eti kama nitakua namuhitaji atakua anakuja tupige mambo.
Hii imekaa vipi kuna mtu ilishawai mtokea...
Bila ya kupoteza muda wana MMU.
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka kati ya 26~30.
Nimekuja kwenu hasa wanawake wenye kujitambua na kujielewa naomba wanisaidie hili. Ingawa Wanaume pia...
Mabinti waliolelewa kilelemama/kimayai ni shida sana.
Siku ya kwanza kuonana naye nilimuweka kidogo tuu(almost 20 minutes). Akawa anadai eti amechoka kukaa.
Tukaonana for the first time. Ni...
Ni mwanamke niliyetoa posa laki tisa baada ya siku tano akatoroka, hajulikani alipo lakini simu yake inapatikana hapokei simu kabsa. kwa anayejua namna ya kumpata anisaidie jamani
Nb; naogopa...
ni mjadala mkongwe zaidi duniani, mjadala wa vizazi na vizazi tangu kuumbwa kwa ulimwengu kwa muktadha wa kiimani
Ni mjadala tata kuhusiana na kile kilichotokea pale Eden na ukweli kuhusu dhambi...
Baada ya miangaiko yangu ya hapa na pale,huwa naenda maeneo yenye utulivu na kupata moja moto moja baridi,na kama nitapata nafasi najaribu kuosha macho hapa na pale kwa kuangalia maua ya dunia...
Kwa kipindi sasa naimekuwa fashion kubwa sana Mahusiano Mengi kutosimama wala kuwa na hulka ya Heshima tena hasa kama Mnaishi Mbali ila niwambie kitu Mwanamke akianza tabia ya nje hata uwe na hela...
Habari zenu humu ndani.
Mwenzenu leo sina furaha sana maana akili yangu yote inamuwaza Hajir mpenzi wangu tuliyeachana nae kama miezi zaidi ya minne sasa.
Sema ukweli nilikuwa nampenda sana...
Kwa masingle mnaweza nishangaa...ila ni kweli kabisa, ndoa sio suruhisho la upweke.
Ikiwa ni Mwaka wa tano sasa kwenye ndoa na hatujafanikiwa kupata mtoto maisha yangu yamejaa lots of common...
Habari zenu wana bodi,
Ni kwamba tangu utotoni Nilikuwa na tabia ya huruma kupita kiasi. Mfano mtu akipatwa na tatizo najikuta namhurumia sana mpaka inapelekea niumie sana kana kwamba tatizo ni...
Hivi nyie wamiliki wa nyumba mmekuaje? Kwa hili mnazingua sana shida yenu ni pesa au??
Toka last week nahangaika sehemu ya kupanga, nimenda almost sehem 3 eti mwenye nyumba anakwambia...
Mimi binafsi naona hawa wenzetu wa jinsia ya kike swala la kuvunja mahusiano kwao ni kitu cha kawaida sana! Hawaumii km sisi ndio maana haoni hatari kama akipata mtu wa maslahi muda wowote hata km...
Katika tembea tembea zangu mwenyewe nikiwa mpweke, kwambaali nikaona watu wawili Nika ashum wote watakua ni wanawake, hivo basi nikakaza mwendo kidogo ili niwafikie ili angalau nuwasalimie Tu na...
Watu wengi walio lonely ambao hawana kazi ndo huwa wanaangaika sana na mapenzi na ikitokea wameachana huwa anaumia sana maana mara nyingi un anakuta unamuwaza
Ila kama una mambo yako uko busy...
"Mzee wa kasumba"
Ninakabiliwa na matatizo makubwa hasa katika upande wa kusaka ngenya / papuchi / vipochi manyoya.
Siku kadhaa zilizopita nilileta UZI wa kudai kuwa Nina upepo wa kuachwa achwa...
Kila mzazi hufurahia mtoto anapofikia umri wa kutambaa na hatimaye kusimama na kutembea. Mtoto anakuwa amepata uhuru mpya unaomuwezesha kutoka sehemu moja kwenda nyingine mwenyewe. Pamoja na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.