Msaada wakijua alipo.

Msaada wakijua alipo.

Shy land

JF-Expert Member
Joined
Jul 28, 2013
Posts
6,245
Reaction score
2,856
Ni mwanamke niliyetoa posa laki tisa baada ya siku tano akatoroka, hajulikani alipo lakini simu yake inapatikana hapokei simu kabsa. kwa anayejua namna ya kumpata anisaidie jamani

Nb; naogopa kuweka namba zake hapa lakini kwa atakaye hitaji nitampatia. Ninatashukuru kwa atakaye nguswa na kilio changu na kutoa msaada wake.
 
Hana jina, alafu pia ni invisible kwaiyo hawezi kuwa na picha
.......
Sehemu aliyo torokea haijulikani ni mkoa gani
 
Ni mwanamke niliyetoa mahali yangu laki tisa baada ya siku tano akatoroka, hajulikani alipo lakini simu yake inapatikana hapokei simu kabsa. kwa anayejua namna ya kumpata anisaidie jamani

Nb; naogopa kuweka namba zake hapa lakini kwa atakaye hitaji nitampatia. Ninatashukuru kwa atakaye nguswa na kilio changu na kutoa msaada wake.
Mahali ndiyo kitu gani?
 
Muache aende kachukue pesa zako kwa wazee wake

Kama umempa yeye sina cha kukushauri
 
Hapo ushatapeliwa Umekutanishwa na mzazi fake ukaliwa pesaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Ila kama ni wazazi halali huna haja ya kuteseka rudi pale kwaoo mamaaee wataitapikaa tu [emoji119][emoji119][emoji119] Pesa sio mawee tena juzi tu nkajua imepita miezj au miaka..
 
Mkuu mahari ulimpa mwanamke au wazazi wake? Kwanini atoroke? Mna mgogoro

Riport kwa wazazi wake. Wakurudishie pesa zako. Na huyo huna haja ya kumtafuta. Hakufai tena
Uchumba wa wiki
 
Mkuu huyo mwanamke umekutana nae wapi? Na kwa muda gani mlikuwa pamoja? Ulikuwa na nani siku kutoa posa?
 
Ni mwanamke niliyetoa posa laki tisa baada ya siku tano akatoroka, hajulikani alipo lakini simu yake inapatikana hapokei simu kabsa. kwa anayejua namna ya kumpata anisaidie jamani

Nb; naogopa kuweka namba zake hapa lakini kwa atakaye hitaji nitampatia. Ninatashukuru kwa atakaye nguswa na kilio changu na kutoa msaada wake.
Mahari kamdai uliyemkabidhi mkuu, au ni waislamu anapokea mchumba?
Kama vipi kawashtaki hata makonda atakusapoti
 
Duh!!yani kumbe watu wanapigwa hadi kwenye posa...mjini kweli shule
 
Ni mwanamke niliyetoa posa laki tisa baada ya siku tano akatoroka, hajulikani alipo lakini simu yake inapatikana hapokei simu kabsa. kwa anayejua namna ya kumpata anisaidie jamani

Nb; naogopa kuweka namba zake hapa lakini kwa atakaye hitaji nitampatia. Ninatashukuru kwa atakaye nguswa na kilio changu na kutoa msaada wake.
Mbona mnaifedhehesha jamiiforums namna hii?Hii nayo ni thread kweli?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom