mzee wa kasumba
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 1,432
- 2,892
"Mzee wa kasumba"
Ninakabiliwa na matatizo makubwa hasa katika upande wa kusaka ngenya / papuchi / vipochi manyoya.
Siku kadhaa zilizopita nilileta UZI wa kudai kuwa Nina upepo wa kuachwa achwa na wanawake. Sasa Hili jambo naona linazidi kushika kasi kwangu.
Kibaya zaidi nikwamba hata nikimtaka binti ama msichana huwa ananikataa vikali Sana. Na hili suala bwana kwangu si kawaida kabisaaaaaaaa.
Daah mpaka najishangaa kijana mimi mwenye swaga tele kweli Mimi ni wa kukataliwa?Oooh jamani nahisi kuna kitu hapa.Kitu gani kimenikumba mimi kijana mwerevu?Kitu gani kimenikumba mimi mwanaume wa mbegu?Nisaidieni jamani
Ninakabiliwa na matatizo makubwa hasa katika upande wa kusaka ngenya / papuchi / vipochi manyoya.
Siku kadhaa zilizopita nilileta UZI wa kudai kuwa Nina upepo wa kuachwa achwa na wanawake. Sasa Hili jambo naona linazidi kushika kasi kwangu.
Kibaya zaidi nikwamba hata nikimtaka binti ama msichana huwa ananikataa vikali Sana. Na hili suala bwana kwangu si kawaida kabisaaaaaaaa.
Daah mpaka najishangaa kijana mimi mwenye swaga tele kweli Mimi ni wa kukataliwa?Oooh jamani nahisi kuna kitu hapa.Kitu gani kimenikumba mimi kijana mwerevu?Kitu gani kimenikumba mimi mwanaume wa mbegu?Nisaidieni jamani