Nkundwe Sr
JF-Expert Member
- Nov 30, 2014
- 6,107
- 9,213
Wakuu kuna dada nilikua natoka nae sasa leo kaniambia eti anaomba tubaki marafiki tu! wa kawaida eti kama nitakua namuhitaji atakua anakuja tupige mambo.
Hii imekaa vipi kuna mtu ilishawai mtokea embu tupeane kidogo mawazo.
Hii imekaa vipi kuna mtu ilishawai mtokea embu tupeane kidogo mawazo.