Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Habr wadau Wakubwaa! Nilikuwa na mahusiana na dada mmoja hv wa kishua nikiwa mwaka wa tatu UDSM, yeye alikuwa anasoma certificate chuo flan kilichopo kimaraa!! Baada ya kumaliza chuo kaenda home...
2 Reactions
206 Replies
13K Views
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, Kuna binti ni mpenzi wangu tuna miezi 10 sasa toka tunapendana mpaka imefikia kuahidiana kujenga familia moja. Cha kusikitisha na kutia hasira mpaka naomba...
4 Reactions
50 Replies
4K Views
aseeee! mwanamke wa huko ma ufilipino, india, mwanamke wa huko the United states of A (sio black), kwa malkia Uingland huko asee ndio mapenzi yalipo msee wangu. huku kwetu mablack tunauziwa...
0 Reactions
9 Replies
3K Views
kabla ya yote napenda kwanza kumshukuru MUNGU kwa kunifanya niwe salama mpaka sasa,pia nina imani nyie pia mpo salama vilevile na tuendelee kumwomba MUNGU asimame mbele yetu siku zote za maisha...
0 Reactions
18 Replies
6K Views
kumbe kuna watu wanalilia ndoa,wengine wanafanya madudu Amini usiamini Nigeria ina upungufu wa wanaume wa kuoa!! Kiasi kwamba wanawake wanaotamani kupata wenza na kutengeneza familia wameamua...
9 Reactions
131 Replies
102K Views
Wanajamii najitokeza mara ya kwanza kuomba maoni na michango yenu juu ya swali hili linalonitatiza. Binafsi nikiwa kama kijana na muumini mzuri wa mila na desturi za mwafrika natatizwa na umri...
0 Reactions
488 Replies
63K Views
Katika tafiti zangu nilizofanya wadogo zetu wa kike mmekua watu wa ajabu sana kitabia na kusababisha hata kuolewa imekuwa shida sana. Mfano hai mi wadogo zangu wa3 wanazekea home wameona mda...
12 Reactions
48 Replies
5K Views
HABARI ZENU WANA JF Kwa Majina Naitwa Tyron goodluck Mwanzoni mwa Mwaka huu 25/1/ 2019 kuna msichana nilimpatia Ujauzito Hivyo Nime mlea na sasa yuko ktk hatua zake za mwisho tayr kwa...
1 Reactions
58 Replies
10K Views
Sijajua kwa nini wanaume tunapenda kuoa wanawake wakawaida sana wasio na mvuto sana tena tunawatoa vijijini, sijajua kama ni uoga wa kuwa na mke mrembo au nini? Jamani mwenye uelewa zaidi atujuze.
6 Reactions
100 Replies
26K Views
Habari Ni kijana wa miaka 27 Kutokana na matatizo Yangu(kiafya)sitoweza kuzalisha kwa njia ya kawaida. Ukiacha tatizo hilo,Niko mzima wa afya na mchapa kazi. Nimejiajiri Ni msomi,mstaarabu na...
2 Reactions
36 Replies
4K Views
Tunavyoweza kupeana tupeaneni ila tusipeane matatizo.Kama wewe mkaka kuna kitu unaweza kumpatia mdada mpatie,na wewe mdada kama unakitu cha kumpatia mkaka mpatie....ila kumbuka usimpatie...
8 Reactions
27 Replies
2K Views
Mimi ni member mkongwe humu. Ninaishi Sweden na nina passport kwa sasa. Nilikutana na kijana Mtanzania aliyekuwa na viza ya uanafunzi 2007 kumbe alikuwa muathirika. Nilimkaribisha nyumbani...
34 Reactions
360 Replies
47K Views
Kadiri unavyo mfuatilia mke au mwanamke wako ndivyo unavyozidi kukikaribia kifo chako UZI TAYARI
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Mimi ni kijana wa takribani miaka 29 sasa,lengo la kuanzisha uzi huu wala si kitu kingine zaidi ya kutafuta mwenza ambae baadae atakuja kuwa Mke wangu Najua kwa sasa atapopatikana kwasababu...
1 Reactions
18 Replies
2K Views
Long distance live is when two of you are physically apart, you can communicate via letters, emails and nowadays smartphones have made life easier. Active communication and trust are essentials...
16 Reactions
58 Replies
6K Views
Nipo dar natafuta mwanamke wa kuwa naye kimaisha na awe mkweli na muaminifu. Sina ubaguzi wa elimu,kabila hata dini. Muhimu awe mkweli. Anitafute 0713341651
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Bwana Yesu asifiwe wapendwa!!!! Nimefanya utafiti nimegundua wadada wengi wenye elimu za juu ndo wanaoongoza kuzalishwa na kuachwa, Ukilinganisha na wa vijijini. >> Maana wale wa vijijini...
24 Reactions
227 Replies
20K Views
Salaam wanabodi! Zaidi ya asilimia 90 ya shughuli zangu za siku zinategemea matumizi ya simu. Lakini simu hii imekuwa inaniletea ugomvi wa mara mwa mara nyumbani, kila siku ugomvi. Shida ni...
4 Reactions
164 Replies
14K Views
Wakuu leo nina appointment au ahadi ya kuonana na mdada nisiyemfahu ila tulikuwa tunachat PM tu kuanzia week iliyopita. Tukatongoza tukaelewana wenyewe. Sasa leo saa kumi na moja jioni ndiyo...
4 Reactions
84 Replies
6K Views
Zakuambiwa changanya nazako. Kutokana nanyuzi nyingi humu zawatu wanaojiita mabaharia kuwa wanawake wenye umri kuanzia miaka 25 nakuendelea kuwa wapo vizuri kitandani, basi namimi nikasema ngoja...
5 Reactions
113 Replies
9K Views
Back
Top Bottom