The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 4,355
- 17,321
Utafiti uliofanyika huko nchini Marekani na Uingereza umegundua kua ukosefu wa wanaume wanaovutia kiuchumi ndio sababu kubwa inayopelekea kushuka kwa idadi ya watu wanaofunda ndoa kila mwaka.
Idadi ya watu wazima ambao hawako kwenye ndoa inazidi kua kubwa siku hadi siku kutokana na wanaume wengi kutokua na mvuto wakiuchumi.
Soma huo utafiti.
Wanaume tutafte hela.
Idadi ya watu wazima ambao hawako kwenye ndoa inazidi kua kubwa siku hadi siku kutokana na wanaume wengi kutokua na mvuto wakiuchumi.
Soma huo utafiti.
Study blames lack of ‘economically-attractive’ men for declining marriage rates
Authors say many young men have 'little to bring to the marriage bargain'
www.independent.co.uk
Wanaume tutafte hela.