Kwa masingle mnaweza nishangaa...ila ni kweli kabisa, ndoa sio suruhisho la upweke.
Ikiwa ni Mwaka wa tano sasa kwenye ndoa na hatujafanikiwa kupata mtoto maisha yangu yamejaa lots of common routines .
Tunaishi peke yetu , japo tunatembelewaga na ndg wa mke mara nyingi coz tunapoishi ndipo familia ya wife inapoishi na ndg zangu wako mbali sana, hata hivyo mm na ndg zangu tumekua mbalimbali sana kimawasiliano.
Siku za hivi karibuni kuna experience inaanza nitokea ya kujihisi mpweke sana japo nina mke, nikirudi home najaribu kujipigisha storiii.....ila finaly najikuta nimetulia. Kimtindo Nahisi life linanibore ..
Mimi sio mlevi wa pombe wala mpira au michezo ya kubet...ila nisidanganye napenda totoz ila sio mchepukaji .
Hobie yangu kubwa ni kazi yangu, zamani nilipenda church ila pia siku hizi naona wananizengua....story ni zile zile kutishana na kutiana moyo huku wenzetu wanapiga hela.
Wakuu ebu nipeni mawazo mbadala wa kipindi hiki ambacho naona maisha yanakosa maana na nashindwa kuenjoy mahusiano yangu ya ndoa.
Thanks in advance
Ikiwa ni Mwaka wa tano sasa kwenye ndoa na hatujafanikiwa kupata mtoto maisha yangu yamejaa lots of common routines .
Tunaishi peke yetu , japo tunatembelewaga na ndg wa mke mara nyingi coz tunapoishi ndipo familia ya wife inapoishi na ndg zangu wako mbali sana, hata hivyo mm na ndg zangu tumekua mbalimbali sana kimawasiliano.
Siku za hivi karibuni kuna experience inaanza nitokea ya kujihisi mpweke sana japo nina mke, nikirudi home najaribu kujipigisha storiii.....ila finaly najikuta nimetulia. Kimtindo Nahisi life linanibore ..
Mimi sio mlevi wa pombe wala mpira au michezo ya kubet...ila nisidanganye napenda totoz ila sio mchepukaji .
Hobie yangu kubwa ni kazi yangu, zamani nilipenda church ila pia siku hizi naona wananizengua....story ni zile zile kutishana na kutiana moyo huku wenzetu wanapiga hela.
Wakuu ebu nipeni mawazo mbadala wa kipindi hiki ambacho naona maisha yanakosa maana na nashindwa kuenjoy mahusiano yangu ya ndoa.
Thanks in advance