Mahusiano, mapenzi, urafiki

Tubadilishane mawazo kuhusu familia, mahusiano, mapenzi, urafiki, n.k na kushauriana

On JF:

Katika maisha ya kawaida,ukimueleza mtu shida zako au matatizo yako na akashindwa kukupa ushauri au usuluhishi wa maana...na matokeo yake anakuambia tumuachie Mungu,jua ya kuwa huyo mtu hana...
1 Reactions
20 Replies
2K Views
Leo ilikuwa siku ya kuonana na mchumba wangu lakini mda wa asubuhi akaniaga anaenda kwa shangazi yake ni mbali kiasi na kaniambia anataka nauli nikampa 50,000 sababu ni mbali kiasi. Sasa mida ya...
3 Reactions
23 Replies
2K Views
Habari za muda huu wadau wa JF, bila kupoteza muda ngoja niende moja kwa moja kwenye topic. Issue ipo hivi; Kuna demu mmoja anajishughulisha na mambo yake hapa mjini, nilianza mahusia naye...
7 Reactions
69 Replies
7K Views
Habari za jioni wana MMU, Mimi ni msichana am dating a Guy who is a little bit older than me. I have been loving this guy toka enzi hizo when I was still katoto but I never took it serious until...
1 Reactions
299 Replies
22K Views
Imeisha hiyo
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Tarehe 13 Juni 2018, msamaria mwema alipiga simu namba 116 – Huduma ya Simu kwa Mtoto akiripoti kisa cha mtoto aitwaye Irene* (sio jina lake halisi), mwenye umri wa miaka 10 ambaye anaishi na bibi...
2 Reactions
5 Replies
781 Views
Asubui unakimbilia kutoa smart card kisa mtu anayebaki nyumbani na watoto wako na pia anayekupikia asiangalie TV......tuweni na utu jamani. Hawa wanaishi kama sisi...mpe ratiba yako ya kazi then...
41 Reactions
89 Replies
8K Views
Kama mnavyojua Wanawake huwa tunapenda kwa hisia ndivyo tulivyo umbwa, je kipi bora kuwa na Mwanaume ambaye huna hisia naye lakini ana mapenzi ya dhati kwa kifupi anakujali, anakufanya ufurahie...
3 Reactions
15 Replies
1K Views
Kwenye mizunguko ya apa na pale nmegundua kua suluhisho mbadala kwa wale wenye matatizo ya uhanisi na nguv za kiume USHAURI: Tembelea Mlimani City Siku Za Weekend Alaf Ukae Kwenye Vile Vibenchi...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Kuna mambo mengine wanawake huwa wanajisahau sana. Eti utakuta umezaa na kuishi na mke / mwanamke wako kwa kipindi fulani, sasa mnapogombana anaamua kuondoka na kukimbia na mtoto ili akukomeshe...
20 Reactions
85 Replies
9K Views
Andika maumivu, zile shanga au cheni anazovaa demu wako sio kwa ajili yako tu, zile ni kwa ajili ya wengine pia atakaokutana nao huko kwny mishe mishe zake! Ndio maana hata asipokuwa na wewe bado...
6 Reactions
33 Replies
11K Views
Hello Guys Kama kawaida yangu huwa sina stori za mitaani, nina simulizi ambazo ni true stories! Kuna mwana ana mchumba wake, nadhani mwaka wa tatu sasa, huyo demu wake ndio kwanza kamaliza chuo...
4 Reactions
54 Replies
4K Views
Naomba utaje sababu kuu ambazo zinasababisha 99% ya akina Dada wengi kuwachukia na kutokuwa na Uhusiano mzuri na Wapenzi / Wake za Kaka zao. Naomba kuwasilisha.
3 Reactions
71 Replies
7K Views
Habarini ndugu zangu Mimi umri wangu bado sijafikisha miaka 30 ila nimkubwa kiukweli yaani nimekuwa mkubwa. Swali langu hapo juu linajieleza, Siku, miezi, miaka inavyozidi kwenda nimekuwa...
0 Reactions
18 Replies
7K Views
Wanawake hua hawaelewi wanaume kupendelea kutoka na mabinti wadogo zaidi ya umri wao. Wengi hukimbilia kusema wanaume tunapenda mteremko, kwamba mabinti wadogo tunawarubuni na kuwashawishi kwa...
20 Reactions
123 Replies
24K Views
Wanajamii, Embu tukumbushie kama kichwa cha habari hapo juu, Mimi sitasahau nilifumaniwa na lizee limoja niko na msichana wake tena geto na msichana kabisa! Sitasahau niliruka ukuta na wala...
24 Reactions
308 Replies
54K Views
kuna jambo linanitokea kuhusu ex-wangu ambaye tulipendana vizuri tu lakini baadae akanisaliti na kwenda kuolewa na kibopa. jambo lenyewe ni hili; tangu tumeachana, kila mara ninapoangalia simu...
0 Reactions
30 Replies
4K Views
Aisee hakuna changamoto kubwa kama kuishi na ndugu wa mume na wakwe kwenye nyumba mojaa, kweli kiba na ufisi wao maana walimlaa Gigy yeye na abdukiba sasa leo hii huu undugu wa kujazana sehemu...
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Kuna mdada nna dating nae muda tu. Lakini mara kwa mara anapenda sana niambia kuna mtu flani alinitaka mara huyu ananifuata fuata yaan muda mwingine nakereka..... Kuna siku nikamfuma ana flirt...
1 Reactions
22 Replies
2K Views
Miaka mingi wanaume wa kiafrika tumekuwa na shida sana katika kuoa jamii hizi mbili. 1. wahindi 2. waarabu na hili limetufanya tubaki wanyonge kwa kiasi kikubwa snaa tukiwalalamikia dada zetu...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom