Habari,
Nami leo nimeamua kujitokeza jamvini kutafuta mume ambae atakuwa wangu wa maisha naamini nitampata kupitia jukwaa hili.
Mimi ni binti mwenye miaka 28 muislam natafuta mume lakini awe na...
Hi guys, natafuta mume awe HIV+
Umri kati ya 30-35,awe anafanya kazi,na awe serious na maisha binafsi mm nina umri wa miaka 27, ni H I V + ni mwajiriwa wa serikali nipo Kilimanjaro,kwa m2 alie...
Mi mwanamke pia natafuta wa kubadilishana mawazo haswa za kibiashara,kikazi na changamoto mbalimbali za kimaisha mkoa wowote,nchi yoyote.Kuchat na kushare mambo mbalimbali na kupeana michongo...
Habari Wana JF,
Mimi nina miaka 34 na watoto wawili, niliachana na mme wangu huu ni mwaka wa nne sasa, ila hadi sasa sijapata mtu mwingine hasa wa kuaminika wote ninao wapata naona wadanganyifu...
Holla,Mambos?
Naitwa Sean, miaka 30, mfanyakazi(muajiriwa). Napenda kusafiri, kuogelea, muziki, kuwa na furaha na vingine vingi(vizuri). Kama unapenda kuwa rafiki, kubadikishana uzoefu na vingine...
Mimi ni binti nina miaka kati 24 hadi 27 yani hapa kati.Nina sababu maalumu za kutokutaja miaka kamili najitegemea, ni mweusi maji ya kunde, nimekuja hapa natafuta mwenza wa maisha, aliye tayari...
Hello everyone
A man who seriously wants a wife pls pm me so that we can start the journey.
I am a lady of 26 years
Born again Christian
Sukuma from Mwanza
Secondary school teacher
Currently...
NATAFUTA RAFIKI WA KIKE MCHAMUNGU MRISTO ANAYEPENDA KUJIFUNZA BIBLIA,UJASILIA MALI,IBADA NA MAOMBI ILI TUBADILISHANE MAWAZO YA KIMAISHA KWA MAWASILIANO 0686081871
Guys, am married. Niko na watoto wawili, but I want more children ila mke hajui kukaa kwa nafasi ake vizur. Its time nijaribu nje.
Sasa, mwanamke ninaetafuta anizalie: Mimba na mtoto nitatunza...
Natafuta mchumba wa kuolewa/kuoa..
Jamani hii title imeanza kupunguza uzito wake hapa Love Connect. Hili ni jamvi la Love Connect but inaonekan sasa kama vile linakua la People Connect...
kama inavosomeka hapo,,nahitaji mwanamke wa kula maisha au kula bata kama wasemavyo,,in fact akiwa jimama ndo first priority kuanzia 28 to 40 yrs...awe mnene na mwenye hips za kutosha ,rangi maji...
Kila unapo maliza siku1 ndo kuianza siku nyingine na ndo maana unaweza ukamaliza siku nyingi na bado ukatamani zingine
Ni kwa kua unapoimaliza siku jua unayo ianza ni mpya na hii ni siku nyingine...
Natafuta mchumba wa kike awe na umri wa miaka 25-30. Awe ameajiriwa.
Umri wangu ni miaka 30. Jinsi yangu ni mwanaume. Nmeajiriwa. Maelezo mengine tutapeana kadri tutakavyowasiliana.
Aliye...
I am looking for a woman who is going to be my wife. Age of 22-27 and should be independent.
I'll consider mostly those from lake zone except kagera region.
I am 29 yrs old.
More details will...
Natafuta mwanamke mwenye umri wa miaka 18 mpaka 30 na awe Msukuma mrefu wastani, mweupe wastani na asiwe mnene na awe amesoma japo mpaka form four au zaidi na awe mfanyakazi,mfanyabiashara au...
Mimi ni mwanaume mwenye umri wa miaka 32,ninaishi Dar,ni mtumishi wa serikali,natafuta mwanamke wa kuishi nae,awe na elimu ya chuo,awe na shughuli maalum,mwaminifu,umri kuanzia miaka 23-27,rangi...
Hi ladies;
My qualifications are: Learned person,hard worker,Roman Catholic,chaga,30yrs old & available Dsm.
I invite an interested woman who should meets at least bellow mentioned terms...
Habari zenu waungwana,
Najitokeza kwenu mi ni kijana, natafuta mpenzi alie na umri miaka 18_23 mimi umri wangu miaka27 ila awe mkazi wa Kanda ya ziwa mi niko Mwanza.
Mawasiliano no yangu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.